Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 20,994
- 46,708
Kuna mod cop fanya utafiti uone kama itatufaa wikend hii
Kuna mod cop fanya utafiti uone kama itatufaa wikend hii
Yakawaida sana hiyoKuna mod cop fanya utafiti uone kama itatufaa wikend hii
YouHii safi maana series iko poa mimi nitakachofanya ni kudownload seasons zote nikimaliza Dexter nipo season ya 8 nahamia kwenye YOU burudani itakua safi na ya uhakika
Kwenye huu uzi sitatokea tena mpaka nimalize hazitokua siku nyingi sana hahahah
Kuna nyingine inaitwa unknown ni konyo piaItafute mkuu ni balaa sana kama unazipenda psychological hii inakufaa mno
Inaonesha ina season 2Nimeimaliza,
Japo haijakuwa na happy ending
Exactly 💯 Kali sana ileKuna nyingine inaitwa unknown ni konyo pia
Ngoja niidownloadMovie: THE LAST DEAL
jamaa anajiusisha na uuzwaji wa bangi kipindi ambacho haujarasimishwa na serikali ya Marekani na anafanikiwa kupiga pesa sana baada ya serikali kurasimisha rasmi jamaa anakumbana na competition kubwa mno ya hiyo biashara kiasi ambacho biashara yake inashuka na maisha yake kiujumla yanashuka. Hii inampelekea kutafuta njia itakayomrudisha kwenye ramani, wakati haya yanaendea mke wake nae anatongozwa na mwenye hela, Sasa jamaa anaamua akope hela kwenye genge moja la hatari ili ananunua mzigo mkubwa, anafanikiwa lakini amepewa sharti baada ya muda fulani arudishe na riba bahati mbaya huo mzigo alionunua unaibiwa bila hata yeye kuuza na ndio alikuwa anautegemea na aliouiba haijulikani ni nani na muda wa kurudisha pesa ya watu unakaribia na yeye pesa Hana unazani Nini kitatokea? Utamu wa movie unaanzia hapa
Kitu cha kushangaza kuhus bangi hasa kwa nchi zetu hizi za kiafrika. Ni kuwa inasemwa ni kharam. Ila nikikumbuka namna ambavyo mzigo ukikamatwa na baadae ripoti ikitoka tunaambiwa yalikuwa majani ya kulishia n'gombe...Movie: THE LAST DEAL
jamaa anajiusisha na uuzwaji wa bangi kipindi ambacho haujarasimishwa na serikali ya Marekani na anafanikiwa kupiga pesa sana baada ya serikali kurasimisha rasmi jamaa anakumbana na competition kubwa mno ya hiyo biashara kiasi ambacho biashara yake inashuka na maisha yake kiujumla yanashuka. Hii inampelekea kutafuta njia itakayomrudisha kwenye ramani, wakati haya yanaendea mke wake nae anatongozwa na mwenye hela, Sasa jamaa anaamua akope hela kwenye genge moja la hatari ili ananunua mzigo mkubwa, anafanikiwa lakini amepewa sharti baada ya muda fulani arudishe na riba bahati mbaya huo mzigo alionunua unaibiwa bila hata yeye kuuza na ndio alikuwa anautegemea na aliouiba haijulikani ni nani na muda wa kurudisha pesa ya watu unakaribia na yeye pesa Hana unazani Nini kitatokea? Utamu wa movie unaanzia hapa
Niliwahi kuvuta bange mwaka 2010 njiani nilikuwa nacheka mwenyewe tuKitu cha kushangaza kuhus bangi hasa kwa nchi zetu hizi za kiafrika. Ni kuwa inasemwa ni kharam. Ila nikikumbuka namna ambavyo mzigo ukikamatwa na baadae ripoti ikitoka tunaambiwa yalikuwa majani ya kulishia n'gombe...
Nachok kabisa na kujisemea, hakuna biashara kharamu sema wewe hujaingia kwenye system ya biashara hiyo. Utashangaa unapewa hadi escort 😁😁
🤣Niliwahi kuvuta bange mwaka 2010 njiani nilikuwa nacheka mwenyewe tu
Hiyo last breath inahusu Nini?
Chris Lemons Ni Mpiga Mbizi Wa Kuajiriwa Akiwa Na Wenzake Kwenye Meli Ya Uchimbaji Mafuta.Hiyo last breath inahusu Nini?
Hii nzuri Asante kijanaChris Lemons Ni Mpiga Mbizi Wa Kuajiriwa Akiwa Na Wenzake Kwenye Meli Ya Uchimbaji Mafuta.
Gafla, Hitilafu Ya Umeme Inatokea, Na Anaachwa Peke Yake Chini Ya Bahari Bila Namna Ya Kurejea Juu!
Oksijeni Inakwisha – Waokoaji Hawajui Yupo Wapi Haswa
Sitarajii kuona mapushabu kwenye hii movieMovie: THE LAST DEAL
jamaa anajiusisha na uuzwaji wa bangi kipindi ambacho haujarasimishwa na serikali ya Marekani na anafanikiwa kupiga pesa sana baada ya serikali kurasimisha rasmi jamaa anakumbana na competition kubwa mno ya hiyo biashara kiasi ambacho biashara yake inashuka na maisha yake kiujumla yanashuka. Hii inampelekea kutafuta njia itakayomrudisha kwenye ramani, wakati haya yanaendea mke wake nae anatongozwa na mwenye hela, Sasa jamaa anaamua akope hela kwenye genge moja la hatari ili ananunua mzigo mkubwa, anafanikiwa lakini amepewa sharti baada ya muda fulani arudishe na riba bahati mbaya huo mzigo alionunua unaibiwa bila hata yeye kuuza na ndio alikuwa anautegemea na aliouiba haijulikani ni nani na muda wa kurudisha pesa ya watu unakaribia na yeye pesa Hana unazani Nini kitatokea? Utamu wa movie unaanzia hapa
Ulivuta bange yenye Nta huwa ni Kali sana🤣🤣Niliwahi kuvuta bange mwaka 2010 njiani nilikuwa nacheka mwenyewe tu
Hii ina seasons ngapi naona hapo the final season. Au ni jina tu