Herzogg
JF-Expert Member
- Apr 17, 2024
- 4,573
- 1,386
Kuna movie inaitwa Departed ya Matt Damon na Di caprio yumo huyu maza bado mbichi mbichi, kila nikiicheki scene anazokuwepo huwa nadindisha tu.Sijui alikuaje kipindi yupo kwenye 20s
Kuna movie inaitwa Departed ya Matt Damon na Di caprio yumo huyu maza bado mbichi mbichi, kila nikiicheki scene anazokuwepo huwa nadindisha tu.Sijui alikuaje kipindi yupo kwenye 20s
Na kwenye orphan aliupiga mwingi vera famirga pamoja na wale wadogo zake wawili taisa na yule mwenzie Nadia ni wazuri sana hata mie nikiwaona nasimamishaKuna movie inaitwa Departed ya Matt Damon na Di caprio yumo huyu maza bado mbichi mbichi, kila nikiicheki scene anazokuwepo huwa nadindisha tu.
Imenishind baada ya mavitu ya ajabu ajabuTupo EP 5 the last of us Cc dosho12
![]()
The Last of Us - TodayTvSeries
Download The Last of Us (Complete) 480p, 720p & 1080p WEB-DL- TodayTvSeries Twenty years after modern civilization has been destroyed. Joel, a hardened survivor, is hired to smuggle Ellie, a 14-year-old girl, out of an oppressivetodaytvseries.one
Yale ignore tu mkuu wewe fatilia tukio la mbele hata Mimi huwa nafanya hivyo hii series game lake ni Kali na halikuwa na Yale mavitu ila series ndio wameweka miyeyusho Yao Hawa inatakiwa unapeleka mbele tu afu unafatilia tukio la mbeleImenishind baada ya mavitu ya ajabu ajabu
Tena sasa hivi wanawatumia watoto dah!Yale ignore tu mkuu wewe fatilia tukio la mbele hata Mimi huwa nafanya hivyo hii series game lake ni Kali na halikuwa na Yale mavitu ila series ndio wameweka miyeyusho Yao Hawa inatakiwa unapeleka mbele tu afu unafatilia tukio la mbele
Wanazingua sana yaani sanaTena sasa hivi wanawatumia watoto dah!
sasa hivi bado ana akili za kitoto, ana kukua mwisho wa season 2 akitoka jela hivyo kuanzia season 3 franklin anaanza kuwa gangster hapo ndo inanza kuwa moto,Snowfall inaanza kuchangamka season ya ngapi? Maana nipo Season 01 Episode ya 08 naona bado ipo kawaida
Ipe muda mkuu ni series Kali mnoSnowfall inaanza kuchangamka season ya ngapi? Maana nipo Season 01 Episode ya 08 naona bado ipo kawaida
Mtu hatari sana huyu
Hadi Mimi mkuu naiweka number 1 number 2 ni band of brothersMkuuu mie kwangu hii ndio series kali kuliko zoteee
Mkuuu una recomend nicheki Band of brothers?Hadi Mimi mkuu naiweka number 1 number 2 ni band of brothers
Alifanya balaa hapa 😂 😀 Cc dosho12 DR SANTOSMtu hatari sana huyu
Haifiki hata nusu ya Covenant au Lone survivorBonge moja la masterpiece🫡🫡🫡 ipo kwenye level za The Covenant, lone survivor
Itafute mkuu ni series kalii sana ukifika kwenye battle of bastone uje kunipa rate yake kwanza EP ya 1 wana wanakula tusi EP ya pili wanaenda kwenye battle aloo sio powa kazi ya jeshi ngumu mnoMkuuu una recomend nicheki Band of brothers?