Good Man
JF-Expert Member
- Jul 2, 2015
- 932
- 1,173
Dah itakua series fupi mno ambayo nimewahi kushuhudiaKuna mdau humu niliona kama aliandika kwamba ep06 ilikuwa Ni ya mwisho kwa s01. Hapa ni kuvuta subra kwa s02 tu hakuna namna
Dah itakua series fupi mno ambayo nimewahi kushuhudiaKuna mdau humu niliona kama aliandika kwamba ep06 ilikuwa Ni ya mwisho kwa s01. Hapa ni kuvuta subra kwa s02 tu hakuna namna
Sheeeedah.... Nahisi itakuwa ni Series kali ya kufungia mwaka hiii.. Japo mpaka sasa zimetoka Episode 3 tuuu....
ukitaka kuielewa game of throne ujitahidi isikupite hta scene moja yaan ukiongea na simu weka pause nk na maneno uyaelewe vizuri sana wanayozungumza ni vizuri ukadownload na subtitle yake ili uielewe zaidi na season 2 mwishoni ndo inaamza kuchanganya ni moja kati ya seriez kari sana km ilipoishia sa hv JON SNOW kama kafa najiuliza itakuaje na jeshi la wafu ndo linazidi kukua nahisi utamu unazidi kukoleaYa mapanga niliyoipenda ni jumong..lakini game of throne imenishinda kabisa..
Tatizo game of thrones inanikata stimu wale main characters ndio wakufa kila seasonukitaka kuielewa game of throne ujitahidi isikupite hta scene moja yaan ukiongea na simu weka pause nk na maneno uyaelewe vizuri sana wanayozungumza ni vizuri ukadownload na subtitle yake ili uielewe zaidi na season 2 mwishoni ndo inaamza kuchanganya ni moja kati ya seriez kari sana km ilipoishia sa hv JON SNOW kama kafa najiuliza itakuaje na jeshi la wafu ndo linazidi kukua nahisi utamu unazidi kukolea
Iyo series inaitwajehahaha wale ma monk walikuwa washapigwa bila kutumia njia mbadala walikuwa hawachomoki kwa sunny
season 2 itakuwa nzuri sana
inaintwa 'Into The Badlands' mkuu. s01 imeisha twangojea s02Iyo series inaitwaje
Kwenye torrent ntaipata kweliinaintwa 'Into The Badlands' mkuu. s01 imeisha twangojea s02
unaweza kuipata, mi huwa naichukua kwa Simu kupitia 02tvseries.com. Jaribu kupita huko ipoKwenye torrent ntaipata kweli
hapo sasa some tyme inashangaza lkn ndo inazidi kuwa nzurii nafikili hvyo visa vya kufakufa ndo vinanogesha zaidiTatizo game of thrones inanikata stimu wale main characters ndio wakufa kila season
Noma sana Banshee naikubali vibayaBanshee naikubali sana ni series y kimafia n ver intelligent
into the badlandsIyo series inaitwaje
Haaahh mi mwenyewe nilipomuona jamaa nikajua shida tayari,Lakin naona katulia sana, kama vip amgegede yule dada wa computer...Naona safari hii kwenye Blind spot Mzee mzima Sullivan Staplaton sio mgegedaji sana tofauti na kwenye Strike Back jamaa anagegeda sana kule mpaka aibu kuangalia ile picha na watoto
Kuna series mpya zimetoka naona zitakua nzuri....colony na beuworf the return into shieldland.