Series (Special thread)

Series (Special thread)

Ni kweli season ya kwanza imeisha tusubili ya 2 lini itatoka @Da vinc
 
huu uzi nimeupenda bure. imenifanya nianze kuwa mfuatiliaji wa series, mpaka sasa nimeshafuatilia The last ship na nilianza Into the Badlands kimya kimya baada ya kuona sifa zake humu hakika nimesuuzika moyo
 
Mkandara,
Castro amenasa kwenye kile wanaita "time warp." Mapinduzi yake yalikuwa ya kihistoria lakini ameshindwa kupiga hatua sawa na mabadiliko kwingineko ulimwenguni. Si kwamba akane sera zake, la hasha, lakini atambue tu kwamba ulimwengu wa sasa sio ule wa mwaka 1958 na arekebishe mwelekeo wa nchi yake na kwamba mapinduzi ya wakyuba si ya uongozi wa mtu mmoja tu. Lakini vinginevyo amekuwa kiboko.

Inahusu nini mkuu??
 
Wakuu kuna ambae amecheki homeland season 5 atupe mrejesho kama imechangamka. Maana season 1-3 zilikua zinaniboa sana ila season 4 ilichangamka, mission za kutosha.
 
huu uzi nimeupenda bure. imenifanya nianze kuwa mfuatiliaji wa series, mpaka sasa nimeshafuatilia The last ship na nilianza Into the Badlands kimya kimya baada ya kuona sifa zake humu hakika nimesuuzika moyo

Karibu mkuu uwe huru kuuliza na kushare experience
 
iko poa kuhusu kuchangamka me naona kawaida tu ila ni nzurii na imeisha aseee
Wakuu kuna ambae amecheki homeland season 5 atupe mrejesho kama imechangamka. Maana season 1-3 zilikua zinaniboa sana ila season 4 ilichangamka, mission za kutosha.
 
hahaha wale ma monk walikuwa washapigwa bila kutumia njia mbadala walikuwa hawachomoki kwa sunny

season 2 itakuwa nzuri sana

inavyoonekana Sunny nae anamauwezo kama yao ila hajajijua jinsi ya kuyaamsha hayo mashetani ila jamaa alijitahidi kuwabana sema walitumia 'goli la mkono'
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom