leonardo da vinc
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 1,108
- 735
dah kuna series hazikuiendelea kama missing, vanishing, crisis, hostages.. nashindwa kuelewa nn tatizo yan nilizielewa sana yani
Ongezea na the Event zilikuwa nzuri sana!
dah kuna series hazikuiendelea kama missing, vanishing, crisis, hostages.. nashindwa kuelewa nn tatizo yan nilizielewa sana yani
Kukosa high ratings kutoka kwa watazamaji na isitoshe kuna series kibao nzuri hence competition kwene tv. Mfano mzuri nasikia 'supergirl' kidogo iwe cancelled bse ilianza kuchelewa "kufunguka" na ikapelekea kuanza kupata low ratings kutoka kwa watazamaji so ikapelekea directors kutoa episode flani iloirudisha hewani ( ya 7 kama sijakosea) iliyoifanya ivutie and hence haikuwa cancelled.Cku zote series nzuri zinakuwa cancelled cjui kwann???
Naikumbuka Tomorrow people ilivyokuwa tamu alafu waka cancelZinapoteza mwelekeo na kuishia
Kukosa high ratings kutoka kwa watazamaji na isitoshe kuna series kibao nzuri hence competition kwene tv. Mfano mzuri nasikia 'supergirl' kidogo iwe cancelled bse ilianza kuchelewa "kufunguka" na ikapelekea kuanza kupata low ratings kutoka kwa watazamaji so ikapelekea directors kutoa episode flani iloirudisha hewani ( ya 7 kama sijakosea) iliyoifanya ivutie and hence haikuwa cancelled.
nenda gooddrama.net tumia idm kudownloadWanajamvi vip kuhusu series za kikorea hizi naweza kuzipakulia wapi torrent nimetafuta sijazipata
Mkuu hivi Banshee ndo iliisha hiyo sO4 au iliendelea kwani niliiangalia sana hiyo kitu na nakumbuka niliishia hiyo seasonBANSHEE.hii series ex-con ambaye alikuwa mwizi wa akili nyingi alifungwa miaka 15 baada boss wake kujua jamaa anakula mtt wake hvyo alimtuma jamaa akaibe shm then akamuuza kw polisi.huko gerezan boss akamtumia wababe wa gerezani kila siku apewe kipigo n kulawitiwa ila jamaa alipambana hakuliwa hadi anatoka jela.alivyotoka akaanza kumtafta mpenzi wake ambae kashabadili jina ili asijulikane na yyte ikiwamo babaake.ili jamaa aweze kuishi ikabid achukue cheo na jina la lukas hood ambae aliuwawa kabla hajafika kituo cha kazi.hapo inanoga bana ipo hd season4
Mkuu tyrant season 3 torrent washaiachia?Tyrant naona season 3 itakuwa noma maana jamaa wanataka awe rais wao ila waarabu wanaipiga marufuku kwakuwa inawadharilisha wanasema wao hawatawali kihivyo...tho Power ni noma 50cent kamuua mjomba wake je atakutwa na hatia je mke wa ghost atachukua hatua kani baada yakukuta kinda lake limeuwawa nadhani in season 3 itakuwa na majibu!
kuna series gani mpya kali wadau?
Ha ha!!..Chizi ww..Now nacheki "how i met atoto" season 2Inaitwa atoto and kaboom love boat.
Ha ha!!..Chizi ww..Now nacheki "how i met atoto" season 2
Duuh..Hiyo imeisha kitambo mbona..Oooh ukiimaliza naomba unipe na mimi, alafu ujue if loving you is wrong niliishia episod5 tu? Vipi imeendelea?
Duuh..Hiyo imeisha kitambo mbona..
The robot au Mr Robot???Ebu tizamen hizi
1) Marvel daredevil
2) Marvel agent carter
3) Hannibal
4) The robot
Ndo kwanza zpo S01....