Series (Special thread)

Series (Special thread)

Sikutaka nikujibu lkn imebidi. wewe utakuwa mpenzi wa movie za aina flan flan ..

lkn flash ina test yake

kiukweli the flash episodes 2 nikashindwa kuendelea, sio type ya kile nikipendacho. ila kila mmoja na ladha yake, ndo maana nkasema Arrow nayo inataka kunishinda sasa itabidi nibaki na into the the badlands huku nikizisubiri tyrant + the 100
 
Sasa hapo hapo ongezea

American Odyesis (japo imefungiwa inavyodaiwa baada ya kuichafua marekani)
Tyrant
Xiii(japo hii ya kitambo)
Scandal

halafu hawa jamaa wananiudhi sana mambo ya kucancel hizo movie kuna moja iliitwa Gang related nilikuwa naikubali sana hii movie lakn baadae nikakuta wameicancel
 
huyo jamaa mbona ni wa kwenye braking bad hiyo scene uliyochukua hii picha alikua anaitwa gustavo fring

huyo jamaa yumo kwenye Ile Ya Revolution jamaa mtata sana. Nafurahi hasa pale alipokamatwa na kufungiwa ndan na kundi la Monroe lakn baada akafungua halafu akachukua jambia akawalamba jamaa wawili waliokuwemo humo halafu baadae anafuata yule wa watatu halafu anatamka maneno "God forgive me" maneno mazito sana hasa pale mtendwa anapotamka hayo maneno ujue moyo wake hauna huruma tena
 
halafu hawa jamaa wananiudhi sana mambo ya kucancel hizo movie kuna moja iliitwa Gang related nilikuwa naikubali sana hii movie lakn baadae nikakuta wameicancel
Series nyingne zinapoteza mwelekeo na kuishiwa kukosa viewers so lazima wazicancel
 
Series nyingne zinapoteza mwelekeo na kuishiwa kukosa viewers so lazima wazicancel

mkuu kama hii gang related ni kali sana ile movie. Wakat huo kuna movie inaitwa Haunted yaan ni mbaya sijapata kuona, kunapicha inaitwa CHASE nayo haifai lakn bado zipo kwenye mwendelezo.
 
Naona safari hii kwenye Blind spot Mzee mzima Sullivan Staplaton sio mgegedaji sana tofauti na kwenye Strike Back jamaa anagegeda sana kule mpaka aibu kuangalia ile picha na watoto
 
Tafuteni... Daredevil Series iko season moja mpaka sasa niliyoiona...
 
kiukweli the flash episodes 2 nikashindwa kuendelea, sio type ya kile nikipendacho. ila kila mmoja na ladha yake, ndo maana nkasema Arrow nayo inataka kunishinda sasa itabidi nibaki na into the the badlands huku nikizisubiri tyrant + the 100

Niko pamoja nawe mkuu nami pia nimekutana na the same situation
 
kuna series zilizo hit sana zamani moja inaitwa the west wing, na nyingine inaitwa mad men nani anazifahamu?
 
Wanaokera ni blacklist. Wanaweza kaa mwezi bila episode. Halafu huwa nashangaa unakuta blacklist imesimama pamoja na VD na Originals at the same time na arrow pia. Sijui producer mmoja au?

Mkuu nimemaliza Olympus nipe series mpya nzuri niishushe
 
into the badlands Ni nzuri ninAifuatilia ila naona kiza huko mbeleni kwani yule Dogo M.K anazidi kuji-expose sana na kumuweka Sunny kwenye wakati mgumu. ipo vizuri so far

Kazi ipo asee ni ngumu sana kuitabiri hii series
 
Kuna hii series ya Legends (2014) ni mzuri sana.

Follows a deep-cover operative named Martin Odum, who has an uncanny ability to transform himself into a different person for each job. But his own identity comes into question when a mysterious stranger suggests that Martin isn't who he thinks he is.

Legends (TV Series 2014– ) - Plot Summary - IMDb
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom