Kaboom
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 10,827
- 15,015
Nope..Itaendelea..Season ya 2 ina episodes 11..Uje tuirudie woteYaani imeisha kabisa kabisa hawatoi tena? Iliishia episod ya ngapi?
Nope..Itaendelea..Season ya 2 ina episodes 11..Uje tuirudie woteYaani imeisha kabisa kabisa hawatoi tena? Iliishia episod ya ngapi?
Nope..Itaendelea..Season ya 2 ina episodes 11..Uje tuirudie wote
1.Iyo hannibal nilishindwa angalia. Nilihadithiwa kwamba jamaa analisha watu nyama ya binadamu. HatareEbu tizamen hizi
1) Marvel daredevil
2) Marvel agent carter
3) Hannibal
4) The robot
Ndo kwanza zpo S01....
i've watchet it already..Nipe nyingine..I know we have the same taste in series lolOkey nitakuja baba maana nafurahigi sana tukiangalia movie pamoja, are you watching quantico?
Well done mkuu...mie npo daredevil ssa iv nataka niimalizie then nianze na mr robot1.Iyo hannibal nilishindwa angalia. Nilihadithiwa kwamba jamaa analisha watu nyama ya binadamu. Hatare
2. Mr. Robot bonge la dude. Bora hata wameliirenew for season 2 kabla hata season 1 haijaisha.
3.,marvel's daredevil ni bonge la dude. Jamaa na upofu wake katisha. I cant wait to kuangalia season 2 ifikapo Mwez wa tatu
4. Marvel's agent carter haikunivutia kuichek bse imekaa kaa kizamni zamani nahs (1940's) na pia episode ni chache (8). Labda nitajaribu tena.
i've watchet it already..Nipe nyingine..I know we have the same taste in series lol
Teh teh..In a lot of things..Are you sure its only in series??
Ile episode ya mwisho ilinichanganya alafu dogo kaifuta, itabidi niidownload upya niicheki, tatizo ina flash backs nyingi mnoooo khaaah!! Episode ya 11 si ndio ya mwisho? Au imeendelea?
Ya ukweli sana hiyo..Sema fupi sana aisee..into the badlands ......shigdiiiiiiiii
Teh teh..In a lot of things..
Yeah..Ya 11 ndo ya mwisho kwa season 1
42 minutes per epsd .... afu week inaisha episode 7 sijaiona kwenye mtandaoYa ukweli sana hiyo..Sema fupi sana aisee..
Mkuu season 1 ndo ishaisha tayari...Ina episodes 6 tu..Ndo mana nikasema fupi sana42 minutes per epsd .... afu week inaisha episode 7 sijaiona kwenye mtandao
Hii niliona mahali itaanza tena Jan 2016 s03. nilitumia muda huu wa holiday ya Dec kuiangalia imefikia pazuri sana. pia niliona kama wanataka kuipiga chini nikasikitika sana hope itaendelea.Mkuu tyrant season 3 torrent washaiachia?
The 100 tupo pamoja mkuu...... Ukiianza huachi. Jan 21 itakua Tuesday I think season 3 episode ya kwanza itakua hewaniHii niliona mahali itaanza tena Jan 2016 s03. nilitumia muda huu wa holiday ya Dec kuiangalia imefikia pazuri sana. pia niliona kama wanataka kuipiga chini nikasikitika sana hope itaendelea.
zingine zilizonibamba na nasubiri muendelezo wake this Jan Ni pamoja na The last ship, The 100.
Tomorrow People niliipenda sanaNaikumbuka Tomorrow people ilivyokuwa tamu alafu waka cancel
Banshee season 4 inatoka January 29Mkuu hivi Banshee ndo iliisha hiyo sO4 au iliendelea kwani niliiangalia sana hiyo kitu na nakumbuka niliishia hiyo season