Na mipicha ya ndege ya nini?
Safisha macho tu mpenzi
Milioni uadui
Na mipicha ya ndege ya nini?
Lakini tuwe wakweli,hawa klauz maccm kuna kamchezo wamemchezea hapa diamond,i smell something..diamont atakuwa kawagomea kutumika kama akina FA
Clouds wamejifanya kumuua Diamond wameua shoo nzima watu wamechoka mazima hata Davido anaboa show inamalizika kifala sana sidhani kama Davido atarudi tena Bongo.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Watu wanarusha vitambaa tu chezea american english wewe