Mnazareth
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 3,474
- 7,407
Sijui kwelii
Sio akilini, labda wanatumiana picha za uongomaana ungeona nilivobishiwa sio tuu picha za akilini ziliwapa ujasiri wa kunibishia hivo.
Wewe njoo pm nitakutumia![]()
Fanya mchakato basi my shee.
Muda sana

uko kama mimi. Kwanza vya kuandika sina.
Mie kazi yangu kule kusoma tuu!!
@lizarazu ndio huwa ananichosha. Kama bado sijala sijisumbui kusoma quote yake maana baada ya sentence moja lazima niitafute oxfordMnatutesa na dikshonari jamani doh![]()



Tulia, upepo wa kisulisuli lazima uwasombe kabla mwaka kuisha.
Haki wewe hapana
😂😂😂😂😂😂 kuna mtu mmoja nilimbamba kaweka savanna kwenye vile vi- aluminum watu wanavyowekea chai maofisini.Umenitamanisha safari...ngoja nikagonge moja chaap
Hebu tulia kwanza, unakuwaje tekeni bila mimi kuwa na taarifa?Mimi ni 'tekeni' dada
Usiponiona huku niko Twitter
Kwa hiyo utaendelea kuniita mchumba kwenye dunia ya kawaida au utaacha?Hunisingizii![]()
Hahahahahaha
Unataka kusemaje eti
Haujafika tuu? OhooooIko wazi?
Hebu tulia, au hujui ni wachache hawa?Mmhh uke wenza tena??