Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,487
Sisemi, nabaki naguna guna.
Mmmhhh
Mmmhhh
Hebu tuna tena 'tasavali'
Naona wewe ndio umeamua kuongeza taharuki ambayo inaelekea kutokea hapa...
Yule anayetumiaga account yako kuandika kimalkia ni nani? Au lizarazumimi ndimi.



Niambie pembeni


,watu wengi wanayashuku lakin n maji tu
kuna mtu mmoja nilimbamba kaweka savanna kwenye vile vi- aluminum watu wanavyowekea chai maofisini.
Sasa na wewe kwa hizo kiu za kila Mara nna mashaka u miongoni
Mbona unamchokonoa hivyo DadaaUwiiiii, enheee hajakwambia chochote kuhusu mimi?![]()
Rashford the wonder kid
Karibu handsome boyNiko seriousnakuja
Mupe MupeHebu tulia kwanza, unakuwaje tekeni bila mimi kuwa na taarifa?
Hapana unaiahirisha kwa muda

huyo unayetaka kuniozesha ni shemeji kweli au mume wa dada tu??
Hebu tulia kwanza, unakuwaje tekeni bila mimi kuwa na taarifa?
Wakuu chat zinatosha dondosheni mapicha ya ukweli wachomoa betri waone wivu.