Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

kwamba katika nane nitakayoyasema basi unachukua mawili tu au hauchukui hata moja siyo??

Sijapanick mkuu, huyu dogo kuna kipindi aliniambia nimsalimie kabisaa eti kalingana na dadangu baada ya kuona picha yangu!!
Sio wa kumfuatiliza saaaana!

#UNIKOME#
 
Wacha we watu na techniques zenu za kijasusi
Na wewe ndo ungesababisha kabisaa!

Kuna kitu kimoja huwa hamshtukagi, mwanamke hawezi kutupia pic zake mfululizo vile tena kwa jeuri kabisaa!!

Ila aliwajibu wanaume kwa makopa meeengiii, ajabu akawa anatuchunia sisi wa kike!
 
Back
Top Bottom