Mnazareth
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 3,474
- 7,407
Salama kabisa mkuu, hujambo mkuu?
Hebu tulia, au hujui ni wachache hawa?
Toka juzi naona jinsi unavyochochea kuni😁😁Ungeanza ww kudondosha ingependeza.
Ni hatari faya.Rashford the wonder kid
Zilishafutika na kamera ya simu ikaharibika tena. Hadi nikatengeneze.
Toka juzi naona jinsi unavyochochea kuni![]()
Ha ha ha ha ha ha ha nataka kujua.Mbona unamchokonoa hivyo Dadaa



account ipi hiyo tena??
Yule anayetumiaga account yako kuandika kimalkia ni nani? Au lizarazu![]()
Cc MsubhateMnaendelea je hapa kwa hisani ya mshubate
Mupe Mupe
Hii hii ya Karma.account ipi hiyo tena??

Karibu handsome boy
Akikujibu niambieHa ha ha ha ha ha ha nataka kujua.
Ha ha ha ha ah aha ha ha ah aha #NIKUKOMEHaya ndiyo kayasema Kiba jana.
Unaniibia pencil then unanisaidia kuitafuta.![]()
Kwani wewe haujuiSasa wakiitwa wanaotema kimalkia na mimi nitatoka kweli?? Hapana bado sijamfikia William Shakespeare (Lizarazu)!!

