Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,488
Ndiiwooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndiiwooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi niliweka picha zangu wakasema sio mimi. Sasa nilibaki kushangaa wanasemaje sio mimi wakati sijawahi kukutana nao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nikaamua niache tuu.
Jamaaaaniiiii
Leo sijaenda huko kabisaa
NdiiwoooHahaha...khaaaa!!!
Nakimbia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapa jukwaani niite dada na mimi niringishie.
Woiiiii, wewe ndio wakuniambia mimi hivi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kutema kimalkia
Usiponiona huku niko TwitterMie kule sipo kabisa, yaani mimi facebook na twitter havijawahi nibariki hata siku moja niliwahi kuzitumia nikaona miyeyusho tu nikaachana nazo.
Kweli? Huko duniani ni ndugu kweli?Hapana
Mimi siwezi kuwa mdogo kwako kabisaa!!
Mnazareth ni kaka yangu kabisaa...##serious###
Usiponiona huku niko Twitter
Hahahahahaha[emoji1787][emoji1787]au siyo??
Amen Amen[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bwana Yesu asifiwe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]endelea kumuomba Msubhate akufundishe maana nasikia ameshakuwa 'samjo samjo'
Hehehe kuna wawili ujue, sasa ni yule old model au ile new model [emoji23][emoji23][emoji23]
#umbea ni kazi sana kuongea kwa code
Ndo nini eti jamani
Kwelii kabisaa aki!!Kweli? Huko duniani ni ndugu kweli?
MmmhhhAti jamaa ni 'shox'