Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Ndiiwooo
Ndiiwooo



Mimi niliweka picha zangu wakasema sio mimi. Sasa nilibaki kushangaa wanasemaje sio mimi wakati sijawahi kukutana naonikaamua niache tuu.
Jamaaaaniiiii
Leo sijaenda huko kabisaa
NdiiwoooHahaha...khaaaa!!!
Nakimbia
Usiponiona huku niko TwitterMie kule sipo kabisa, yaani mimi facebook na twitter havijawahi nibariki hata siku moja niliwahi kuzitumia nikaona miyeyusho tu nikaachana nazo.
Kweli? Huko duniani ni ndugu kweli?Hapana
Mimi siwezi kuwa mdogo kwako kabisaa!!
Mnazareth ni kaka yangu kabisaa...##serious###
Usiponiona huku niko Twitter
Hahahahahahaau siyo??
Amen Amen
Bwana Yesu asifiwe
endelea kumuomba Msubhate akufundishe maana nasikia ameshakuwa 'samjo samjo'








umeona eenh?? Achana na ile couple iliyoanzisha, kuna hii couple nyingine iliyofuatisha hii nina wasiwasi nayo sana kuwa ni mtu mmoja japo sina uhakika.
Hehehe kuna wawili ujue, sasa ni yule old model au ile new model
#umbea ni kazi sana kuongea kwa code








Ndo nini eti jamani
Kwelii kabisaa aki!!Kweli? Huko duniani ni ndugu kweli?
MmmhhhAti jamaa ni 'shox'