Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Mnapunguza na vitu muhimuKwanini hupendi tukipungua eti Dada??
Mnapunguza na vitu muhimuKwanini hupendi tukipungua eti Dada??
Hapa umebugi mzee baba. Hii picha na za mwanzo haziendani. Check rangi na vidole vya mikono tofauti..
Hajui banaHaha naona dogo hajui sheria siyo
Huyu jamaa anazingua sana. Achana naye tu mkuu. Hii JF ni kila mtu na lwake na always akili za kuambiwa changanya na zako
View attachment 1249336







Watu mnafukua tu makaburi ya kinondoniSitaki kuamini kama mpenzi wangu niliyempenda kwa moyo wote ndio ameniacha rasmi
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo.... Na Leo ndio kaamua kurudisha rasmi zawadi na vitu vingine ambavyo nilimnunulia wakati wa mahusiano yetu... Hapa nilipo machozi yananitoka kwa kuangalia hivi vitu nilivyo mnunulia wakati huo mapenzi yetu yalipokuwa moto moto na nashindwa nivipeleke...www.jamiiforums.com
I am confused....!!!









Hivi ulishaweka picha yako hapa kweli hata ya vidole tu au ugoko? Naulizia tu....
Tutaambia nini watu eti jamani!
Nipo mpenzi sikuhizi nimekuwa muumini wa twitter zaidiUlipotelea wapi jamani??




sawa.Nilitaka kuaminisha watu tu kuwa kuna wadada wazuri na wenye maisha na kazi nzuri pia humu JFna wala sio wachangiaji sana ila pesa na maisha yapo vizuri tu








Kwani mie nimesema unania mbaya??? Mbona umejihami mapema
Kuna picha yako uliweka nikakuta imefutwa. Unaweza kuiweka tena mpendwa kama hutojali? Sina nia mbaya![]()
Mzee mbona huo mwandiko wa kike. Soma beyond content ya uzi wake,Mimi ni mpenzi mtazamaji nimeona fekero moja hadi sasa na ilipita kimyaConfused..!!![]()
Ni kweli ananipenda au ndio kurushiana Roho kusema kweli nimezama and nashindwa kutoka
Salaam wana Jf...natumaini mu wazima wa afya tele na poleni kwa kuweza kutupa shauri ambazo kwa namna moja ama ingine zimeweza kudumisha mahusiano ya watu humu ndani... Husika na kichwa cha habari hapo juu... Mimi ni kijana na umri wa miaka 24 na baada ya kumaliza bachelor yangu kuna kozi...www.jamiiforums.com
Yeah lakini hata hivyo mimi sikucomment sana maana kule juu kuna mtu ameniambia eti ana mashaka na jinsia yangu kwa sababu naomba sana picha za wanawake kuliko za wanaumebinadamu hawana jema tukiomba za wanaume tu tunaambiwa tuna wivu na wanawake wenzetu tukiomba za wanawake tu tunatiliwa mashaka kwenye jinsia zetu
daah nimecheka leo mimi jamani
Nishamuomba toka jana usiku jamani!
Nina tatizo la pozi la kusimama, nifundishe basi mrembo






yaani hataki kukufundisha mrembo wangu wewe