DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,503
- 29,900
Ila yule mama ana guu sio la kawaida. Sijui huwa anakula niniNilihisi hivyo
Ila yule mama ana guu sio la kawaida. Sijui huwa anakula niniNilihisi hivyo
Kama hiyo yakoHivi rangi ya mtume ndiyo ikoje hiyo mkuu??
Sema hawa watu wanatuweka kwenye wakati mguu mkuuKwani ukikuta siyo yeye si unatemana naye hapo hapo?
Sidhani km kuna mtu atakulazimisha kufanya au kufuata ambacho hujaridhika nacho
Sijafanikiwa kupaona mkuuHivi haujapaona niliporekebisha kauli??
wewe unamuambia mwenzako akumbuke maneno yake na wewe ukumbuke yale uliyotuambia hadi kutufanya wenzio tuonekane hatumpendi mwanamke mwenzetu
Aise Saint anne njoo huku unapitwa eti kumbe Msubhate ni dume na kumsifia kote kule kumbe anatuzeveza tu hapa anatuchora tunaonekana matonji
Mkwe tena!!!Sawa mkweee
Usimind camera sijui location, wewe suuza macho.
Natoa sasa hivi.
Sema hawa watu wanatuweka kwenye wakati mguu mkuu
Nataka nitoe 6 nyingine nipumue
Najua unatania mkuu ila njia za kumsalimia zipo nyingi. Mfano naweza nikamtag kule Twitani na kumsifia si unajua na yeye anapenda sifa kama John wa chattle, basi baada ya kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa huenda aka reply backHaha daah mkuu sasa ulidhani nimemaanisha ukamsalimie kweli??
Eti eeh, kwahiyo kuna uhakika wa mimi kupata vile vinywaji nilivyoviorodhesha kutoka kwa Hazard CFC?
Kwa heshima na taadhima sitaishia ku edit tu bali nitafuta comment yote. Pls I kindly ask you do the sameNimesema utaje ya kwanza tu. Kindly edit.... And I think I know your other Id
Hizo nywele kama zangu kabisaa jamaniSinaga picha full huwa napenda selfie tu sipendi full na hata nikipiga full huwa naziangalia tu halafu nazifuta hapo hapo hazinaga nafasi kwa gallery yangu hivyo kuna selfie tu
Ila nataka uniambie hapo ni wapi ukipatia nakupa hela na una nafasi tatu tu za kuotea, ila hizo nywele fanya kama haujaziona. View attachment 1249723
AiseeeMimi nilikuwa admitted 2011 pale Mzumbe University.
Course BPM
Hall of Residence : Vikenge vya karibu na Library
Maeneo ya kujidai nikiwa chuo : Changarawe.
Current location : Dallas Texas US
Occupation : SS
Kwani hutaki mwanao aolewe mkuu ?Mkwe tena!!!
Si tukiona vitu vizuri lazima tuingie kwenye 18Ha ha ha kwanini?
Naona leo umeamkia kunivunja mbavu tu






