Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]niliona ila nilikuwa na wenge la usingizi kwahiyo nikawa napita kwenye likes tu kama mkuu mkwepu jr
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa aliniumiza na yale mapozi ya kusimama jamaniii....

Nifundishe basi jamani wewe eti
 
[emoji2][emoji2][emoji2296][emoji2296]mie nayatolea wapi dada??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa aliniumiza na yale mapozi ya kusimama jamaniii....

Nifundishe basi jamani wewe eti
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]sasa wewe haupendi matege?? Jamani kweli binadamu tunatofautiana wengine tunayatamani wengine hamtaki yaonekane?? Nimefadhaika sana mimi jamani[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Jamaani
Wewe unayajua bana...

Kila nikijaribu yanatokea matege
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]sasa wewe haupendi matege?? Jamani kweli binadamu tunatofautiana wengine tunayatamani wengine hamtaki yaonekane?? Nimefadhaika sana mimi jamani[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe fadhaika tuu jamani!!
Nafikiri huyajui matege kabisaa!
 
Back
Top Bottom