Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,487



naona umeamua kunitukana sasa
Tusubirie sasa top ten najua uhakika wa wewe kuingia ni mkubwa sana!!
Baada ya yule dume kutolewa



naona umeamua kunitukana sasa
Tusubirie sasa top ten najua uhakika wa wewe kuingia ni mkubwa sana!!
Baada ya yule dume kutolewa








Nini
Why my dear!!It's hard to believe



mie nayatolea wapi dada??
Jamaa aliniumiza na yale mapozi ya kusimama jamaniii....
Nifundishe basi jamani wewe eti
Wallah top ten upoo
Why my dear!!
Jamaanimie nayatolea wapi dada??
Cha biasharaUlimaliza chuo gani kwani??
EwaaaaaEti eeh, kwahiyo kuna uhakika wa mimi kupata vile vinywaji nilivyoviorodhesha kutoka kwa Hazard CFC?



sasa wewe haupendi matege?? Jamani kweli binadamu tunatofautiana wengine tunayatamani wengine hamtaki yaonekane?? Nimefadhaika sana mimi jamani


Jamaani
Wewe unayajua bana...
Kila nikijaribu yanatokea matege
Cha biashara
Ewaaaaa
Ila usinisahu jamani dadako
Mkuu tupia picha full basi 😂😂nambie mkuu
sasa wewe haupendi matege?? Jamani kweli binadamu tunatofautiana wengine tunayatamani wengine hamtaki yaonekane?? Nimefadhaika sana mimi jamani
![]()






Ndio mdogo wangu!Wewe si huwa hautumii divai na vileo dada??
Hii mbona kama interview Mkuu?!CBE?