Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ambao hawanijui mnijue sasa mzee wa chura
Tag%20his%20girlfriend%20abeg%20_joy__joy__arrow_down_%EF%B8%8F_arrow_down_%EF%B8%8F%20-%20Kr...jpeg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wewe unamuambia mwenzako akumbuke maneno yake na wewe ukumbuke yale uliyotuambia hadi kutufanya wenzio tuonekane hatumpendi mwanamke mwenzetu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Aise Saint anne njoo huku unapitwa eti kumbe Msubhate ni dume na kumsifia kote kule kumbe anatuzeveza tu hapa anatuchora tunaonekana matonji
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wewe unamuambia mwenzako akumbuke maneno yake na wewe ukumbuke yale uliyotuambia hadi kutufanya wenzio tuonekane hatumpendi mwanamke mwenzetu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Aise Saint anne njoo huku unapitwa eti kumbe Msubhate ni dume na kumsifia kote kule kumbe anatuzeveza tu hapa anatuchora tunaonekana matonji
Kumbee hujaona toka jana jamani...

Nilimuomba toka juzi anifundishe mapozi ya kusimama akanikaushia kabisaa jamani, comment zangu kama hazioni...

Jana usiku ndo kinabuma, jamaa ni dume
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi Sakayo una nini lakini eti??
Wallahi nimecheka kwa nguvu!!
Akulipe udenda wako
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi Sakayo una nini lakini eti??
Wallahi nimecheka kwa nguvu!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kamfanya kaka yetu atoe udenda!!

Tunamdai udenda wa kaka jamani
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]niliona ila nilikuwa na wenge la usingizi kwahiyo nikawa napita kwenye likes tu kama mkuu mkwepu jr
Kumbee hujaona toka jana jamani...

Nilimuomba toka juzi anifundishe mapozi ya kusimama akanikaushia kabisaa jamani, comment zangu kama hazioni...

Jana usiku ndo kinabuma, jamaa ni dume
 
Back
Top Bottom