Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463



wewe unamuambia mwenzako akumbuke maneno yake na wewe ukumbuke yale uliyotuambia hadi kutufanya wenzio tuonekane hatumpendi mwanamke mwenzetu



Msubhate
😀😀😀😀😀😀😀😀😀Mpe kilevi mwenye shida anywe alewe asahau shida zake...![]()
Kumbee hujaona toka jana jamani...wewe unamuambia mwenzako akumbuke maneno yake na wewe ukumbuke yale uliyotuambia hadi kutufanya wenzio tuonekane hatumpendi mwanamke mwenzetu
Aise Saint anne njoo huku unapitwa eti kumbe Msubhate ni dume na kumsifia kote kule kumbe anatuzeveza tu hapa anatuchora tunaonekana matonji




















Akulipe udenda wako
Hiyo miaka ya nini
2015
Hivi Sakayo una nini lakini eti??
Wallahi nimecheka kwa nguvu!!








2014Kumaliza chuo, wewe ulimaliza mwaka gani?
Tusubirie sasa top ten najua uhakika wa wewe kuingia ni mkubwa sana!!haiyaa
Dahhh....Ufungee
#UNIKOME#



niliona ila nilikuwa na wenge la usingizi kwahiyo nikawa napita kwenye likes tu kama mkuu mkwepu jr
Kumbee hujaona toka jana jamani...
Nilimuomba toka juzi anifundishe mapozi ya kusimama akanikaushia kabisaa jamani, comment zangu kama hazioni...
Jana usiku ndo kinabuma, jamaa ni dume







daah aise
Kamfanya kaka yetu atoe udenda!!
Tunamdai udenda wa kaka jamani
2014
NiniMmhh