Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ambao hawanijui mnijue sasa mzee wa chura
Tag%20his%20girlfriend%20abeg%20_joy__joy__arrow_down_%EF%B8%8F_arrow_down_%EF%B8%8F%20-%20Kr...jpeg
 
wewe unamuambia mwenzako akumbuke maneno yake na wewe ukumbuke yale uliyotuambia hadi kutufanya wenzio tuonekane hatumpendi mwanamke mwenzetu

Aise Saint anne njoo huku unapitwa eti kumbe Msubhate ni dume na kumsifia kote kule kumbe anatuzeveza tu hapa anatuchora tunaonekana matonji
Kumbee hujaona toka jana jamani...

Nilimuomba toka juzi anifundishe mapozi ya kusimama akanikaushia kabisaa jamani, comment zangu kama hazioni...

Jana usiku ndo kinabuma, jamaa ni dume
 
niliona ila nilikuwa na wenge la usingizi kwahiyo nikawa napita kwenye likes tu kama mkuu mkwepu jr
Kumbee hujaona toka jana jamani...

Nilimuomba toka juzi anifundishe mapozi ya kusimama akanikaushia kabisaa jamani, comment zangu kama hazioni...

Jana usiku ndo kinabuma, jamaa ni dume
 
Back
Top Bottom