DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,503
- 29,900
Si busara kumwaga mchele kwenye kuku wengi ila mojawapo ni NokiaOohh ipi na ipi??
Si busara kumwaga mchele kwenye kuku wengi ila mojawapo ni NokiaOohh ipi na ipi??
Kumbee hujaona toka jana jamani...
Nilimuomba toka juzi anifundishe mapozi ya kusimama akanikaushia kabisaa jamani, comment zangu kama hazioni...
Jana usiku ndo kinabuma, jamaa ni dume
Tusubirie sasa top ten najua uhakika wa wewe kuingia ni mkubwa sana!!
Baada ya yule dume kutolewa
Shemeji yenu anawatakieni Mchana mwema. Naona mate yanavyokutoka Mkuu mwenye nacho huongezewa zaidi tafuta pesa utawaona wa kawaida watu kama hawa ukiwaweka ndani
View attachment 1249738
Una rangi ya mtume mtoto mzuri. Wakati wa kupeana msosi lazima uliwe hadi mifupaSinaga picha full huwa napenda selfie tu sipendi full na hata nikipiga full huwa naziangalia tu halafu nazifuta hapo hapo hazinaga nafasi kwa gallery yangu hivyo kuna selfie tu
Ila nataka uniambie hapo ni wapi ukipatia nakupa hela na una nafasi tatu tu za kuotea, hizo nywele fanya kama haujaziona. View attachment 1249723










sasa mnataka na sisi wabaya tuweke sura zetu eti jamani??
Sio kwa voga huo... Emoji gani bonge KIASI hicho
Kwani na wewe una panick faster kama Ali kiba mkuu ?Hii mbona kama interview Mkuu?!
Mida hii najipatia hawa wadudu. Hakuna chakula kitamu zaidi ya hiki kwa vyote nilivyowahi kulaView attachment 1220033
Kuanza chuo mkuu. Wewe umenitangulia sana. In fact natakiwa kukupa shikamoo. Shikamoo KarmaSiyo kumaliza tena mkuu??
Eeeehhivi eenh??
Una rangi ya mtume mtoto mzuri. Wakati wa kupeana msosi lazima uliwe hadi mifupa
![]()
Baada ya kukoroga madawa umeamua kuyanywa taratiiiiibu. Ndio ujue Jf inahitaji mental maturity.Shemeji yenu anawatakieni Mchana mwema. Naona mate yanavyokutoka Mkuu mwenye nacho huongezewa zaidi tafuta pesa utawaona wa kawaida watu kama hawa ukiwaweka ndani
View attachment 1249738
Picha za kupakua Ig zinawadatisha watu
Kuanza chuo mkuu. Wewe umenitangulia sana. In fact natakiwa kukupa shikamoo. Shikamoo Karma
Ukweli ni kwamba sina access ya kumfikia. Sana sana nikapige picha mbele ya State House au pale Capital HillOohh kumbe umemaliza mwaka 2014?? Msalimie Trump mkuu!!
Ukweli ni kwamba sina access ya kumfikia. Sana sana nikapiga picha mbele ya State House au pale Capital Hill