Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

yaani mnaongea hayo yote kwa manufaa yenu ninyi wanaume tu hakuna kingine
Niko home Koromije mimi siku nyingi mbona? Hakuna mwanamke hapa duniani anayeweza kushindana na mwanamke wa Kiafrika mwenye umbo halisi la Kibantu. Hakuna. Sasa nyinyi mnajiharibu kwa kujikondesha mpaka mnabakia mifupa mitupu bana. Mkijikondesha basi angalau mbakizepo vinyama nyama angalau vya kujishikiza shikiza. Hampendezi kabisa !!!
 
Back
Top Bottom