DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,503
- 29,900
Wahuni wamejaa kila kona.Huyu jamaa anazingua sana. Achana naye tu mkuu. Hii JF ni kila mtu na lwake na always akili za kuambiwa changanya na zako
View attachment 1249336
Wahuni wamejaa kila kona.Huyu jamaa anazingua sana. Achana naye tu mkuu. Hii JF ni kila mtu na lwake na always akili za kuambiwa changanya na zako
View attachment 1249336
Wakuu mnafukua makaburi kwa speed ya lightDume hilo . Amebadili Username alikuwa anatumia Ze duduz.
Ameotea account ya mtu Instagram anajimwambafai.
Yeah. Mzumbe University. Yeye alikuwa hostel ya Nyerere. Mimi semester zote nilikuwa nakaa kwenye vikenge karibu na Library ya chuoOohh Mzumbe ya Moro??
Kwanini ana fake uanamke. Anataka kupakatwa ?Mwanaume huyo![]()
Jf ni pana zaidi ya tunavyoiona. Karma ni me ni ke
Uzi uliingiliwa kidogo tulikuwa tunaweka mambo sawa. Na picha tumeweka mbona?Nilikuwa nakutafuta kumbe upo huku, mmegeuza uzi wa picha kuwa kijiwe cha soga
Mkuu unajua sheria ipi kuhusu sare za jeshi?
Huenda TMA hatufundishwa......



yaani mnaongea hayo yote kwa manufaa yenu ninyi wanaume tu hakuna kingine
Niko home Koromije mimi siku nyingi mbona? Hakuna mwanamke hapa duniani anayeweza kushindana na mwanamke wa Kiafrika mwenye umbo halisi la Kibantu. Hakuna. Sasa nyinyi mnajiharibu kwa kujikondesha mpaka mnabakia mifupa mitupu bana. Mkijikondesha basi angalau mbakizepo vinyama nyama angalau vya kujishikiza shikiza. Hampendezi kabisa !!!![]()
Nipo mpenzi sikuhizi nimekuwa muumini wa twitter zaidi![]()
Kwani wewe ni me au ke...hehehe?
wanaume si watu wa picha picha...if you know what i mean!
Ofu kozi. Kila mwamba ngoma huvutia kwake ati...ila kujikondesha sana nako hakufai banayaani mnaongea hayo yote kwa manufaa yenu ninyi wanaume tu hakuna kingine




Mimi sababu ya uhenga sura yangu imechakaa sitaki kabisa kupiga wala kupigwa picha. Na ni kweli wanaume wengi hawapendi picha labda hawa masharobaro wa kisasa hawa wanaovaa jeans za kubana zilizotatuka magotini na kutoga masikioMnh labda baadhi yenu


Mzee baba hapana... Kubali tu kwamba ulitucheza shere yaishe
Duh Hongera usipungue tena zaidi ya 3 zinatosha sana hzo
Try me and check on how I will respond





Hili shindano naona lisiwepo tu...hapa mshindi anaweza patikana njemba ikajilia pesa kiulaini tu
Make it easy sweet