Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Na wewe yako ulishaweka? Au uliweka halafu hapo hapo ukaifuta? Sijui kwa nini huwa mnaweka halafu mnafutaNadhani alishaweka kule juu akafuta hata mimi sikuona
Na wewe yako ulishaweka? Au uliweka halafu hapo hapo ukaifuta? Sijui kwa nini huwa mnaweka halafu mnafutaNadhani alishaweka kule juu akafuta hata mimi sikuona
Shape sio haba

Mnh labda baadhi yenu
Jamani usiwe unapotea hivyo huku JF
Nikienda Twitter nafanyeje? Namfollow nani? Nina akaunti huko lakini naishiaga tu kusoma mipapurano ya wanasiasa na mimi siasa huwa nazikwepa. Basi huwa naishia kukimbia tu na kuja huku.
Hii ni wapi?
Napenda places ka hizi halafu kuwe na band ya jazz inatumbuiza kwa mbaaaaali...
"La vida es bella"
Jamaa gani?nani sasa huyo jamaa au
Labda ila sidhani kama wanafanana picha ya huyu mdada ipo wapi?





Hebu nitag kwenye pichaKwenye posts za juu hapo mpenzi
Hamna Mwanamke hapo...Think out of the box!!!!







I care less.haswa, ila na wewe watasema wana mashaka na jinsia yako.
Kwema, picha sijaona eti...naomba uweke tena kwaajili yangu basiUzi uliingiliwa kidogo tulikuwa tunaweka mambo sawa. Na picha tumeweka mbona?
Kwema?
Nipo ila mimi sio mkuu aiseeAise umepotea humu mkuu
Vijana wa kizazi hiki mnapenda chura sana.Mpe pole hivyo ndio vitu nivitakavyo aise
Ni slipway
mwaka gani mkuu ?Ooh sawa, mimi nimemaliza Mzumbe ya Mbeya pale.