DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,503
- 29,900
Hili guu kama la Zari Hassan
Hili guu kama la Zari Hassan
Ndio mdogo wangu!
Huwa situmii kabisaa my dear, ila utaninunulia mirinda nyeusi tuuu jamani
Hii mbona kama interview Mkuu?!
4 nadhani
Kuanza masomo ya shahada ya kwanza
Uamini ?
Karibu pm mkuu
Mimi nilikuwa admitted 2011 pale Mzumbe University.
Course BPM
Hall of Residence : Vikenge vya karibu na Library
Maeneo ya kujidai nikiwa chuo : Changarawe.
Current location : Dallas Texas US
Occupation : SS
You are missed in here fruh
Naomba nikuulize moja tu, unaweza kutaja herufi ya kwanza ya jina langu?Nakufahamu vizuri mkuu.
Ila naomba usiniulize maswali zaidi.
Nimerudi babe.
Sinaga picha full huwa napenda selfie tu sipendi full na hata nikipiga full huwa naziangalia tu halafu nazifuta hapo hapo hazinaga nafasi kwa gallery yangu hivyo kuna selfie tu
Ila nataka uniambie hapo ni wapi ukipatia nakupa hela na una nafasi tatu tu za kuotea, hizo nywele fanya kama haujaziona. View attachment 1249723