The Professor
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 2,223
- 4,587
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani nimeumia sana leo[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani nimeumia sana leo[emoji23][emoji23][emoji23]
Labda ila sidhani kama wanafanana picha ya huyu mdada ipo wapi?
Nilikuwa nakutafuta kumbe upo huku, mmegeuza uzi wa picha kuwa kijiwe cha soga
Yeah. Mzumbe University. Yeye alikuwa hostel ya Nyerere. Mimi semester zote nilikuwa nakaa kwenye vikenge karibu na Library ya chuo
Kwanini ana fake uanamke. Anataka kupakatwa ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]duuh
Ofu kozi. Kila mwamba ngoma huvutia kwake ati...ila kujikondesha sana nako hakufai bana [emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Mimi sababu ya uhenga sura yangu imechakaa sitaki kabisa kupiga wala kupigwa picha. Na ni kweli wanaume wengi hawapendi picha labda hawa masharobaro wa kisasa hawa wanaovaa jeans za kubana zilizotatuka magotini na kutoga masikio [emoji16][emoji16]
Haya mashindano yataleta chuki na mfadhaikoHalina ubishi hilo...mwisho wa mwaka huu nitaweka top 10 ya warembo hapa kwa uzi. Nakutakua na zawadi nono kwa top 3Pesa cash 100k
Pia zawadi kama
Savanna/heinken/windhoek/wine/whiskey
Proudly sponsored na wanaume wote kwenye huu uzi tukiongozwa na Mshana Jr
Duuh.....yani your active mpaks sio poa[emoji16]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi alishawahi kuweka picha yake humu au ni porojo tupu?Aise umepotea humu mkuu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]wewe umejuaje mkuu??
Hivi alishawahi kuweka picha yake humu au ni porojo tupu?
I have eagle eyes[emoji6]
Ahsante kwa upendo huu...Avatar yako ndio profile yangu WhatsApp [emoji23]