Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,380
- 88,736
Oooooh
Acha kutoboa toboa bana! Huyo ndo mrembo wa JF!
Acha kutoboa toboa bana! Huyo ndo mrembo wa JF!
Sema sisi wanaume tuko tufauti kweliShemeji ako anataka nipunguze kitambi sasa
Sema sisi wanaume tuko tufauti kweli
Mimi pia nilimshangaa huyo mwadada alivyoniambia anagaka kupungua...kweli tunatofautiana sana mkuu
Kwahiyo nibaki hivi hivi?
Hey, He was my friend aliomba ushauri kwangu so the best way nikaja hapa kuomba ushauri and nashukuru nilipata kitu cha kumueleza and mahusiano yake kwa sasa yako safi![]()
Hahaa aisee umemuamulia


Atakua alirudi Msata huyo mkuu kwenye kilinge
Kabisa aise mkuu mafuta kama yaleMimi pia nilimshangaa huyo mwadada alivyoniambia anagaka kupungua...kweli tunatofautiana sana mkuu
Mpe pole hivyo ndio vitu nivitakavyo aise. Mnatofautiana kweli
Baki hivyo aise japo twakuona kwa picha tuKwahiyo nibaki hivi hivi?
Weka picha yako
we schooled together
Hamna pale tu mambo ya jilesi yatakapo jirudia![]()










haswa, ila na wewe watasema wana mashaka na jinsia yako.
We omba tu mama, mi mwenyewe najisikia burudaniii nikikuta picha za wadada kuliko za wakaka. Hebu wadada msiniangushe, dondosheni mapicha picha sasa![]()
Sasa kitambi ndo upunguze hadi mahipsii?!Shemeji ako anataka nipunguze kitambi sasa
Aiseeeee. Mbona mimi hujawahi kuniomba nikakukatalia ?