Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Kabla sijakata uzito kadhaa.View attachment 1249229
Apia mkuu
Kumbe ndo maana hataki kunifundisha mapozi ya kusimama eeh!! Mependa venye ako na mapozi poa ya kusimama!




Bora uendelee kuwa kibonge, kwa kweli sijapenda ulivyojikondesha
Kile kifungu ni cha ngapi etii....
Cha raia na sare za walinda mipaka
Huyu jamaa anazingua sana. Achana naye tu mkuu. Hii JF ni kila mtu na lwake na always akili za kuambiwa changanya na zako![]()
Ni kweli ananipenda au ndio kurushiana Roho kusema kweli nimezama and nashindwa kutoka
Salaam wana Jf...natumaini mu wazima wa afya tele na poleni kwa kuweza kutupa shauri ambazo kwa namna moja ama ingine zimeweza kudumisha mahusiano ya watu humu ndani... Husika na kichwa cha habari hapo juu... Mimi ni kijana na umri wa miaka 24 na baada ya kumaliza bachelor yangu kuna kozi...www.jamiiforums.com





Ndiyo. Mwanamke halisi wa Kiafrika ndivyo anapaswa kuwa hivyo. Hii dhana ya urembo wa Kimagharibi eti mwanamke lazima awe mifupa mitupu mi kwa kweli inanikwaza sana. Please I am pleading with you; usijikondeshe![]()













Huyu jamaa anazingua sana. Achana naye tu mkuu. Hii JF ni kila mtu na lwake na always akili za kuambiwa changanya na zako
View attachment 1249336
Kwamba?
Fanya kwa ajili ya furaha yako. Mnatofautiana kweli
Mkuu mwandiko wa kike lakini...hizo tyu tyu kuna mwanaume anaweza zitumia?Huyu jamaa anazingua sana. Achana naye tu mkuu. Hii JF ni kila mtu na lwake na always akili za kuambiwa changanya na zako
View attachment 1249336
Why hard mkuu ?
Niko home Koromije mimi siku nyingi mbona? Hakuna mwanamke hapa duniani anayeweza kushindana na mwanamke wa Kiafrika mwenye umbo halisi la Kibantu. Hakuna. Sasa nyinyi mnajiharibu kwa kujikondesha mpaka mnabakia mifupa mitupu bana. Mkijikondesha basi angalau mbakizepo vinyama nyama angalau vya kujishikiza shikiza. Hampendezi kabisa !!!Daah Shimba bhana kwahiyo wewe wanawake wa huko hawajakudatisha kabisa?? Kwamba haujaopoa hata mmoja kweli huko??




What?!!!Huyu jamaa anazingua sana. Achana naye tu mkuu. Hii JF ni kila mtu na lwake na always akili za kuambiwa changanya na zako
View attachment 1249336


Nishamuomba toka jana usiku jamani!
Kaangalie thread zake....Labda kachanganya madesaMkuu mwandiko wa kike lakini...hizo tyu tyu kuna mwanaume anaweza zitumia?