Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Poleee sana jamaniTecno wereva hizi![]()
Hakuna ubaya, maana hata kama ukiona picha hizo huwezi mfahamu au kuoanana nae maisha. Halafu ni yeye ndio ameweka kwanza nipo na ugomvi nae kwanini ametumia akaunti yangu ya JF
Aise salute sanaSaluti kwa wadada wote walioamua kuunogesha huu uzi kwa mapicha![]()
Basi haina neno mpendwa...Haipo boss, siioni kwa gallery yangu
Basi mi naona zilinipita. Siku nyingine ukiweka hata kama ni ya kivuli chako tu nitagNilishaweka nyingi saaana jamani!! Mpaka nyingine niko shamba nalimaa
Labda ila sidhani kama wanafanana picha ya huyu mdada ipo wapi?
Ndiyo. Mwanamke halisi wa Kiafrika ndivyo anapaswa kuwa hivyo. Hii dhana ya urembo wa Kimagharibi eti mwanamke lazima awe mifupa mitupu mi kwa kweli inanikwaza sana. Please I am pleading with you; usijikondeshe![]()
Waoooh!!Ulifanikiwa kukata ngapi my dear
Kwa vyovyote wewe ni mzuri tu so fanya vile moyo unataka.....Fanya kwa ajili ya furaha yako
Nikienda Twitter nafanyeje? Namfollow nani? Nina akaunti huko lakini naishiaga tu kusoma mipapurano ya wanasiasa na mimi siasa huwa nazikwepa. Basi huwa naishia kukimbia tu na kuja huku.Sanaaa twitter kutamu mno
Mabaharia waliokuwa wamejitosa PM pole yaoHuyu baharia hana tofauti na wale wanaume wanaotumia picha za watu kupiga pesa. Wanasema wanajiuza ukituma nauli imekula




Unaendelea kukata ili iweje? Usikate zaidi ya 10. Period !!!Sio nyingi sana. Kutoka hapo nilikata kama 6 na naendelea kukata
Hamna pale tu mambo ya jilesi yatakapo jirudia![]()
Apia mkuu
Kumbe ndo maana hataki kunifundisha mapozi ya kusimama eeh!! Mependa venye ako na mapozi poa ya kusimama!