Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,450
- 25,155
Mhh hapana angalia tu avatar
Mmhh weka jamani
Mmhh weka jamani
Sanaaa twitter kutamu mnoWoyooooo
Mbona sikusomi twitani eti! Kule kuna muda pananoga sana
Mkuu unajua sheria ipi kuhusu sare za jeshi?Haha naona dogo hajui sheria siyo
Mh DC kavunja katiba, Ila kwanini wanapenda kuvaa Kombat tu? Mbona sare za magereza, bank, mgambo, mgodini n.k hatuoni wakivaa ?






Huyu baharia hana tofauti na wale wanaume wanaotumia picha za watu kupiga pesa. Wanasema wanajiuza ukituma nauli imekulaHuyu jamaa anazingua sana. Achana naye tu mkuu. Hii JF ni kila mtu na lwake na always akili za kuambiwa changanya na zako
View attachment 1249336
Ni changamoto tu mkuu...tusichoke kupambana![]()







Mwambie mkeo basi anifundishe mapozi ya kusimama mkuuanyway, ni mama watoto wangu amepost hizo picha muwe na amani. Na imani hakuna kilichoharibika ni utundu wake tu umemfikisha huku. Uzi umetendewa haki, na imani kuna wadada wazuri tu humu ndani.
Mama watoto wako yupo huku? Ndio unaanika picha za mke wako hivi kweli?anyway, ni mama watoto wangu amepost hizo picha muwe na amani. Na imani hakuna kilichoharibika ni utundu wake tu umemfikisha huku. Uzi umetendewa haki, na imani kuna wadada wazuri tu humu ndani.
UsijaliMwambie mkeo basi anifundishe mapozi ya kusimama mkuu
Nimeona umesema amefunga pm. Ulikuwa unatafuta nini kwa baharia mkuuhapana


Hakuna ubaya, maana hata kama ukiona picha hizo huwezi mfahamu au kuoanana nae maisha. Halafu ni yeye ndio ameweka kwanza nipo na ugomvi nae kwanini ametumia akaunti yangu ya JFMama watoto wako yupo huku? Ndio unaanika picha za mke wako hivi kweli?
Sawa baharia.



anyway, ni mama watoto wangu amepost hizo picha muwe na amani. Na imani hakuna kilichoharibika ni utundu wake tu umemfikisha huku. Uzi umetendewa haki, na imani kuna wadada wazuri tu humu ndani.