Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

anyway, ni mama watoto wangu amepost hizo picha muwe na amani. Na imani hakuna kilichoharibika ni utundu wake tu umemfikisha huku. Uzi umetendewa haki, na imani kuna wadada wazuri tu humu ndani.
 
anyway, ni mama watoto wangu amepost hizo picha muwe na amani. Na imani hakuna kilichoharibika ni utundu wake tu umemfikisha huku. Uzi umetendewa haki, na imani kuna wadada wazuri tu humu ndani.
Mama watoto wako yupo huku? Ndio unaanika picha za mke wako hivi kweli?
Sawa baharia.
 
Mama watoto wako yupo huku? Ndio unaanika picha za mke wako hivi kweli?
Sawa baharia.
Hakuna ubaya, maana hata kama ukiona picha hizo huwezi mfahamu au kuoanana nae maisha. Halafu ni yeye ndio ameweka kwanza nipo na ugomvi nae kwanini ametumia akaunti yangu ya JF
 
Dah... Ok ila ngumu kumeza ujue.. Sio kwa mapicha yale... Mafisi na mamende ya JF ulishayadatisha
anyway, ni mama watoto wangu amepost hizo picha muwe na amani. Na imani hakuna kilichoharibika ni utundu wake tu umemfikisha huku. Uzi umetendewa haki, na imani kuna wadada wazuri tu humu ndani.
 
Back
Top Bottom