Mnazareth
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 3,474
- 7,407
Duh Hongera usipungue tena zaidi ya 3 zinatosha sana hzo
Sio nyingi sana. Kutoka hapo nilikata kama 6 na naendelea kukata
Sio nyingi sana. Kutoka hapo nilikata kama 6 na naendelea kukata










Hakuna ubaya, maana hata kama ukiona picha hizo huwezi mfahamu au kuoanana nae maisha. Halafu ni yeye ndio ameweka kwanza nipo na ugomvi nae kwanini ametumia akaunti yangu ya JF

Hapana sikutuma...
Nilikuwa nakutafuta kumbe upo huku, mmegeuza uzi wa picha kuwa kijiwe cha sogaMjini shule![]()
Rudi tena kusoma nilivyoandika hapa...anyway, ni mama watoto wangu amepost hizo picha muwe na amani. Na imani hakuna kilichoharibika ni utundu wake tu umemfikisha huku. Uzi umetendewa haki, na imani kuna wadada wazuri tu humu ndani.
Having fake ID's haina maana hata mioyo yetu sio halisi...Watu wako JF ndio hao wako the other side of the world...
Vile tu watu wako na fake identities wanatumia vibaya uhuru huo, overdoin stuff and often act completely insane...
Hahah...Mwambie mkeo basi anifundishe mapozi ya kusimama mkuu

Cut the bullshit niggaHakuna ubaya, maana hata kama ukiona picha hizo huwezi mfahamu au kuoanana nae maisha. Halafu ni yeye ndio ameweka kwanza nipo na ugomvi nae kwanini ametumia akaunti yangu ya JF
Dah,noma naona kathibisha yeye mwenyewe,mwingine huyu hapa rangi ya mwili tofauti,hiyo picha ya Jana(mwisho) rangi ya mkono siyo kama picha alizoweka hapa siku nyingi.View attachment 1249413View attachment 1249414View attachment 1249415
Kumbe huyo ni mzee baba. Mimi nilijua ni mzee mama na nilishaandaa nyavu zangu.Mzee baba hapana... Kubali tu kwamba ulitucheza shere yaishe


Maneno huumba mdogo wanguHuyo Ni Mimi
Dunia ina mengi kaa watu vizuri wakusimulieHapana nimepitia nyuzi zake zaidi ya kumi.. Sio demu huyu
Haya ndo mambo sasa
Jf ni pana zaidi ya tunavyoiona. Karma ni me ni keKwani wewe ni me au ke...hehehe?