Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Talk to me. Am I lying ?
Hivi upogo
Ile ya wifi yako banaa...Si nimeshaweka eti jamani??






asante
Mungu wangu sumu zote zimeshapita kwenye koo langu na kutua kwenye mabandama, finyango na maini bila kusahau figo
Huruma Zaidi ni koo na kifanyio kwakuwa hizo ndio inlet na exit sumu zilipita![]()
Dume hilo . Amebadili Username alikuwa anatumia Ze duduz.Acha kutoboa toboa bana! Huyo ndo mrembo wa JF!
Hapo baharia anataka awapige mabaharia wenzake.Hahaa aisee umemuamulia
Poaaaa karma
Anaenda fanana na mimi kwa mbali
Apia mkuuDume hilo . Amebadili Username alikuwa anatumia Ze duduz.
Ameotea account ya mtu Instagram anajimwambafai.
NASA na FBI nasikia wana uwezo wa kuondoa giza kwenye picha. Ngoja nione kama wataweza kunisaidia. Nitaleta mrejesho



Baharia huyo.Apia mkuu
Kumbe ndo maana hataki kunifundisha mapozi ya kusimama eeh!! Mependa venye ako na mapozi poa ya kusimama!
Kile kifungu ni cha ngapi etii....
Ndiyo. Mwanamke halisi wa Kiafrika ndivyo anapaswa kuwa hivyo. Hii dhana ya urembo wa Kimagharibi eti mwanamke lazima awe mifupa mitupu mi kwa kweli inanikwaza sana. Please I am pleading with you; usijikondesheKwahiyo nibaki hivi hivi?


MmmhhhBaharia huyo.
Wewe tafuta tuu mdada akugundishe.
Mhh ngumu kumeza




. JF hii mkuu. Akili za kuambiwa changanya na zako. ALWAYSKuna picha yako uliweka nikakuta imefutwa. Unaweza kuiweka tena mpendwa kama hutojali? Sina nia mbaya




Uchawi upo na unafanya kazi.Atakua alirudi Msata huyo mkuu kwenye kilinge