Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,675
- 39,092
Naomba niwe kamati ya upambaji hasa mekaupNakuahidi huu mwaka harusi tunayo, wee andaa tyuu sare na michango yaan.![]()
Naomba niwe kamati ya upambaji hasa mekaupNakuahidi huu mwaka harusi tunayo, wee andaa tyuu sare na michango yaan.![]()
Kamata hii shem lake.Ameen kwa nasaha zako ,ahsante sana!
Tuombeane
Uzi uko POA,
watu hawana makasiriko uku.
Yaan watu wa humu utadhan Watoto wa baba mmoja
Sent using Jamii Forums mobile app





ila baba j una mambo uwiiii.HahahaaaZimekuwa nyeupe peee 🤣
Mie pale nili enjoy kubembea, maji nayoyaweza ni ya kwenye beseni tu.
Nakubali mwamba piga kazi leo Haww mabinti humu wametamka wazi wapo katika kutaka kutuchuna tu![]()






Hyatt regency wacha wee.




Weee vibaya wapi kila siku nnaviona na kucha zilizonakshiwa kwa rangi matata sanaMimi vyangu vyote vibaya.
Depal huyu alitupiga kamba akatuambia ana kucha mbaya kwenye kidole gumba
Mbona mzuri sanaMkono wangu..huo hapo!! View attachment 2163372






Alright mate sijakuonaHujaniona bhana








Sasa hivi siliwezi na wameshaacha kuyatengeneza nadhani. Wamepata chalenji kubwa kwa RR mpaka wamebwaga manyanga; na walichelewa kidogo kuyafanya yawe ya kisasa zaidi. End of an era!Sasa hivi mkuu hautaki Tena za matoleo mapya? Ni ngumu kweli miaka 15 umekaa nalo tafuta Tena faza chuma hizi
Una vituko 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Af eti me uvunguni naogopaga kuchungulia esp usiku hua nahisi nitaona mtu sjui😂😂
Jaman si uweke kwa kabati uufungie au kutakua na joto
Weee vibaya wapi kila siku nnaviona na kucha zilizonakshiwa kwa rangi matata sana







Hapo umenena sasaAlright mate sijakuona![]()
Safi sana Bosi Ledi. Leo bila shaka tukae mkao wa kula ama?Shukrani sana msukuma leo niko gudo kabisa!!
AririririririiiiiiiiNakuahidi huu mwaka harusi tunayo, wee andaa tyuu sare na michango yaan.![]()






Only in swimming poolsHadi wewe haujui kuogelea?![]()
Nilishasema mimi. Uzi huu bila Boss Lady ni bure kabisa! Ona sasa!Mkono wangu..huo hapo!! View attachment 2163372



Khaaa we mtoto una mambo sana





kwani uongo? Si wadada wa supp wananiambiaga lakin