Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Asante umenisaidia kumjibu[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]

Yaani mtu akuweke mchepuko,halafu mtumie hela zako!utakuwa wendawazimu huu..
Ukiwa mchepuko siyo hela ya vocha tu!; inatakiwa hata sauti tu unayoongea neno moja ilipiwe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Heee[emoji848]
 
Tena hawa wanaume wanaoendekeza michepuko ni wa kukamuliwa kila kitu,hadi akili ziwarudi wakatulie kwenye ndoa zao maana wanajitoa ufahamu.
hivi hamjui adhaa wanazo zipata baada ya kutuchuna 😁😁😁.. tunawaharibu sanaaaa.. Mungu atusamehe.. kule hela mtazila ila uharibifu tunao waachia ni mkubwa kuliko pesa...
 
Back
Top Bottom