DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 43,312
- 109,413
Kweli kabisa nmeona,Tunaishi kama ndugu
Mara chache chache sana shetani wa kimbunga huwa anapita.
watu mko happy balaa humu.
Nna siku 2 tu ila nmeinjoy Sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa nmeona,Tunaishi kama ndugu
Mara chache chache sana shetani wa kimbunga huwa anapita.

Ha ha ha....Ndio ndiohata mwenzao DeepPond anajua

Nimeacha kufanya kazi nasubiri mpendwa🥰Kwakua wewe acha nitupie 😊😊
Kuwajibika Ni muhimu reymage

Pitia hapa wakuchomee paja la nyuma 😋😋Nyama 🙊😋😋
Khaaa we mtoto una mambo sanaWee yule hana mambo mengi, kikubwa akojoe tyuuh.
Usiulize nimejuaje, eti Jack Palladino mie sipo lakini. Hahahah
😀😀😀😀😀😀Nimeacha kufanya kazi nasubiri mpendwa🥰
HeeeAsante umenisaidia kumjibu
Yaani mtu akuweke mchepuko,halafu mtumie hela zako!utakuwa wendawazimu huu..
Ukiwa mchepuko siyo hela ya vocha tu!; inatakiwa hata sauti tu unayoongea neno moja ilipiwe![]()

Kidevu cha Mwanaume 😍
Kweli kabisaKuwajibika Ni muhimu reymage
Huduma nnayoipata anastahili hata zaidi ya iyo, ananiridhisha kwelikweli
Sent using Jamii Forums mobile app

DohTena hawa wanaume wanaoendekeza michepuko ni wa kukamuliwa kila kitu,hadi akili ziwarudi wakatulie kwenye ndoa zao maana wanajitoa ufahamu.

Mhhh huyu ni wewe kweli?Sasa mtu anataka uchepuke naye for free??
Inatakiwa ukitoka hapo unakuwa ushamvuna hela za kutosha kama biko wanavyovuna buku za maelfu ya watu.
Hii itasaidia baba zetu,waume zetu kupata akili.
Mkali wa hizi kazi
😂😂😂Tena hawa wanaume wanaoendekeza michepuko ni wa kukamuliwa kila kitu,hadi akili ziwarudi wakatulie kwenye ndoa zao maana wanajitoa ufahamu.
Mwambie toyo aniletee 😎Pitia hapa wakuchomee paja la nyuma 😋😋
Ndevu kama steel wire zina kazi nzuri sana hizi 😎😎😎Kidevu cha Mwanaume 😍
Usijali Mkuu, ombi lako ni amri kwangu 🤪Mwambie toyo aniletee 😎
hivi hamjui adhaa wanazo zipata baada ya kutuchuna 😁😁😁.. tunawaharibu sanaaaa.. Mungu atusamehe.. kule hela mtazila ila uharibifu tunao waachia ni mkubwa kuliko pesa...Tena hawa wanaume wanaoendekeza michepuko ni wa kukamuliwa kila kitu,hadi akili ziwarudi wakatulie kwenye ndoa zao maana wanajitoa ufahamu.