reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,427
- 29,306
Ameen kwa nasaha zako ,ahsante sana!Muombe Mungu juu ya hilo then kila kitu kitaenda sawa tu . Kama upo nao close hivyo basi ni hatua nzuri ya malezi .
You're a great job Mama ,usiwaze
Tuombeane
Ameen kwa nasaha zako ,ahsante sana!Muombe Mungu juu ya hilo then kila kitu kitaenda sawa tu . Kama upo nao close hivyo basi ni hatua nzuri ya malezi .
You're a great job Mama ,usiwaze
Kushare matokeo hakuwapi haki ya kufanya mabayaSomo kalipata ndio tena kwa kiwango cha A+ but jua hayo matokeo sio yake tu,, ni ya familia nzima,,, maybe kama hamna watoto that's fine,, it's better ukaomba talaka kuliko kutangaza vita
Tinsley,, pulling together hzo salamu it will take me,Haha kisa ?
Next time ukiniona usisite kunisalimia
Just say hi naitwa Greg ... Nimeona upo jf hapo and then smile.

i don't know,, maybe forever
,ukitegemea mimi nianze maongezi, tunaweza tukakaa seat moja from tz to southafrica kwenye bus,, na tusiongee hadi tunafika,, ukiachana na zile fungua dirisha au naomba kupita,,It's not that simple,, if ingekuwa inaenda according to ulivyoelezea hapo cdhan kuna mwanaume angekuwa anacheatKushare matokeo hakuwapi haki ya kufanya mabaya
Na hatuwezi entertain watu kufanya mabaya eti kwa kuogopa tu kwamba tutashare matokeo.
Somo litasomwa regardless of who is going to bear the burden.
Vita ameitangaza mwenyewe..
Na mimi siwezi hangaika na chochote..
Ulimwengu huko utahangaika naye.
Naweza kudownload tuhela tudogo? 🤓😉Naomba nikupe account yangu ya mt4 😊😊😊
Kucheat kuna matokeo yake mabaya.It's not that simple,, if ingekuwa inaenda according to ulivyoelezea hapo cdhan kuna mwanaume angekuwa anacheat
Asante HSKuna michepuko pia inayohonga waume za watu. Kuna michepuko inatoa connections za maana kwa mume; utajua haujui


Ninakuwa nina trade mie wewe unatumia tu 😀😀😀Naweza kudownload tuhela tudogo? 🤓😉
Huwa hatushauriKaka enu mwenyewe hana hela nimuache?![]()
hahahahaha.dahKuna michepuko pia inayohonga waume za watu. Kuna michepuko inatoa connections za maana kwa mume; utajua haujui
UsimuacheKaka enu mwenyewe hana hela nimuache?![]()
Dear Ann sijakataa,, cheating inq terrible consequences,,, but wangapi wanakutana nazo,,, je ni mara ngapi aliye cheat alifunzwa na ulimwengu?? Ni mara ngapi walipotangaza vita na partners wao walishinda,, ni kawaida 1+1=2 lakini muda mwingine unapoweka hali isiyo na ukawaida 1+1 sio sawa na 2Kucheat kuna matokeo yake mabaya.
Wewe kuto kukumbana nayo haimaanishi kwamba hayapo.
Na wengi hujidanganya kwa kujipa moyo kwamba hawezi kukumbana na hatari,,matokeo yake huishia kukumbana na hatari mbalimbali hata anapojaribu kuweka mambo sawa inakuwa too late.
Na huishia kupata hasara sana kwake mwenyewe na kwa familia yake.
Kwahiyo wewe point Yako no ipi?Dear Ann sijakataa,, cheating inq terrible consequences,,, but wangapi wanakutana nazo,,, je ni mara ngapi aliye cheat alifunzwa na ulimwengu?? Ni mara ngapi walipotangaza vita na partners wao walishinda,, ni kawaida 1+1=2 lakini muda mwingine unapoweka hali isiyo na ukawaida 1+1 sio sawa na 2
Amen sis ,tupo pamojaAmeen kwa nasaha zako ,ahsante sana!
Tuombeane

Tinsley,, pulling together hzo salamu it will take me,i don't know,, maybe forever
,ukitegemea mimi nianze maongezi, tunaweza tukakaa seat moja from tz to southafrica kwenye bus,, na tusiongee hadi tunafika,, ukiachana na zile fungua dirisha au naomba kupita,,
Nna phobia ya kuongea na jinsia yenu public
Akicheat kwa kiwango kisichokuwa na uvumilivu kwako,, the best option is walking away bila vurugu,, kaa chini mchane kuwa move alofanya its a bad one and for that unamuacha,,,na ondoka ukiwa huna tarajio la yeye kufunzwa na ulimwengu,, because isipokuwa hvo utaumia wewe sio yeye,,, walk away kwa style ambayo haitaleta any conflict between you,, then endelea na maisha yakoKwahiyo wewe point Yako no ipi?
Yaani conclusion yako kwa maana ya maoni yako na mtazamo wako.
Kwanini uondoke??Akicheat kwa kiwango kisichokuwa na uvumilivu kwako,, the best option is walking away bila vurugu,, kaa chini mchane kuwa move alofanya its a bad one and for that unamuacha,,,na ondoka ukiwa huna tarajio la yeye kufunzwa na ulimwengu,, because isipokuwa hvo utaumia wewe sio yeye,,, walk away kwa style ambayo haitaleta any conflict between you,, then endelea na maisha yako
Aah sana tuEti eeh?
Basi sawaAah sana tu