Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,274
Awapi... wa hovyo hovyo sanaaaaa!!
Nina hakika mkono wa boss ledi utakuwa hatari na robo
Nina hakika mkono wa boss ledi utakuwa hatari na robo
Zimekuwa nyeupe peee 🤣Usafishe dhambi🤣🤣🤣
Na maziwa yalivyo meupe hapo dhambi zote hapo zinasafishika fastaa😂
Eeh hapo hapo chemka😂
Hahahahaa ngoja nikajaribu kuzichemsha labda zitachemka zievaporate😂😂
Weka hapa tuoneAwapi... wa hovyo hovyo sanaaaaa!!
Labda atalala club leo
Ndo maana unajua matatizo yetu vyemaMimi mwenyewe jobless mzoefu mdogo wangu

🤣🤣🤣🤣Vioja tu 🤣
Ila inatakiwa sehemu cool.
Sasa si uvunguni? Au uvungu wako ukichungulia huoni mwisho 😅😅😅
Weka hapa tuone
Mie najali sasa shem,, yaan kama imepita imepita hyo,,,Sio hivo shem uwe unachangamka ili mtu asijute kukaa siti moja nawewe buana!!
Dogo anakusalimia sana

msalimie sana,,, mwambie aje PM 

Hadi wewe haujui kuogelea?Zimekuwa nyeupe peee![]()
Mie pale nili enjoy kubembea, maji nayoyaweza ni ya kwenye beseni tu.

niko hapa kuna mama anawaka balaaa
Ila HESLB na watu wa Hazina sijui wana tumikosi gani





yaan wee acha tyuuh.Heee eti hatakiOoh okay , nimeelewa ..
Mimi ni muongeaji hivyo ungeanza tu ningekuchangamkia
Ila hujaniona bhana![]()

Aaaaah hapo sawa dea.Pale kuna jf app na short cut ya jf through browser
MweeNina mkono mbaya kama nini sijui!
Hujaniona bhanaHeee eti hataki![]()
Bibi wa kichaga yule alikua anatengeneza mtindi mzuri sanaExactly
Vanilla inanukia vizuri kushinda strawberry.
Umeipenda hiyo kucha msambao 😎😍
Ni utoto tu huo
Ukikua utaacha


Nikiwa mkubwa ntakuwa kama dada annaNakuahidi huu mwaka harusi tunayo, wee andaa tyuu sare na michango yaan.Pambana na wewe tule ubwabwa wewe wapende wauza sura hao kuoa kwao ni mtihani



Mimi vyangu vyote vibaya.Haya Hebu tuone kidole gumba chako nawewe sasa!