Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yeah nilisema ila natengua kauli baada ya kusoma mahali kuwa mbinguni tutapewa miili mipya😂

Hiyo hiyo mradi ikiwekwa sukari inabamba😋

Kuna sehemu ipo Moshi niliona kwa tv panaitwa Maji moto (sijui pana jina lingine) watu wanaogelea nikapapenda mazingira yake so ndio nataka nikija niende hapo nikapunguze stress
Najitolea kukusindikiza niwe chawa wako mkuu panaitwa chemka
 
Yeah nilisema ila natengua kauli baada ya kusoma mahali kuwa mbinguni tutapewa miili mipya😂

Hiyo hiyo mradi ikiwekwa sukari inabamba😋

Kuna sehemu ipo Moshi niliona kwa tv panaitwa Maji moto (sijui pana jina lingine) watu wanaogelea nikapapenda mazingira yake so ndio nataka nikija niende hapo nikapunguze stress
Wee ule ushauri niliulaminate ujue? Mimi sitengui…
Sukari nimeweka afu kuna namna imekuwa nyingi kdg, maana nimedokoa kdg fresh nakunywa nisafishe dhambi.

Pale chemka shost 😁 unataka ukazichemshe stress 🤣
 
Hivi kumbe kufinyiwa kwa ndani kuna madhara? Mzee Mrema wanamuombea mabaya tayari
816711889.jpg
 
Wee ule ushauri niliulaminate ujue? Mimi sitengui…
Sukari nimeweka afu kuna namna imekuwa nyingi kdg, maana nimedokoa kdg fresh nakunywa nisafishe dhambi.

Pale chemka shost 😁 unataka ukazichemshe stress 🤣
Usafishe dhambi🤣🤣🤣
Na maziwa yalivyo meupe hapo dhambi zote hapo zinasafishika fastaa😂

Eeh hapo hapo chemka😂
Hahahahaa ngoja nikajaribu kuzichemsha labda zitachemka zievaporate😂😂
 
Niliwahi kuwa nayo mpya kabisa zile za mwanzo mwanzo. Nilikaa nayo kwa miaka karibia 15 kitu imekula 300K+ miles na bado tu inadai. Mpaka nilichokana nayo tu nikawauzia jamaa wa mashambani huko wakaikata ikawa pick up ya kubebea mazao. Na bado ikaendelea kupiga mzigo tu. Ni moja kati ya ndinga ninazoziheshimu sana
Sasa hivi mkuu hautaki Tena za matoleo mapya? Ni ngumu kweli miaka 15 umekaa nalo tafuta Tena faza chuma hizi
 
Back
Top Bottom