Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,508
- 203,230
🤣🤣🤣Kwa kweli unanipatia sana, hadi natamani nikununulie kisiwa chote Cha Pemba kiwe chako ni vile tu Pension haitoshi 😀😀
Subiria na mie nizeeke, tutajazia na mafao yangu.
🤣🤣🤣Kwa kweli unanipatia sana, hadi natamani nikununulie kisiwa chote Cha Pemba kiwe chako ni vile tu Pension haitoshi 😀😀
Kaka jilie vyako kwani kwenye kutafuta tulikua wote: sema we jamaa unajua Sana kuchagua watoto wazuri
Hapa Sasa ndio umenyoosha maelezo maana nilishasikitika Sana hela ya maji baridi kujipooza hio haina shidaOn behalf of hao mabinti.. don’t quote us wrong![]()
Tunawapenda jamani![]()
Sasa umenikimbiza kilometer 30 navuja jasho kila kona why usinipe hela ya sabuni na maji ya kunywa?!



Vifaa havifanyi kazi zoteMmeletewa vifaaa.. maalamu.. ya nini kuchepuka tena
Eti KUJIHUJUMUKuchagua vibaya ni kuji hujumu tu kaka..


uchague kazi mbovu kwani umemkosea nini mungu shekheee😀😀😀😀 hao wana maisha mafupi sanaaa... fatilia kwa ukaribu wanawake wa vizinga hawanaga maisha marefu.. maana hubeba laana za wachunwa na malalamiko.. mtu kaitoa hela kwenye mazingira magumu alafu mwanamke anaila kizembe zembe lazima laana imuhusu.. sasa unakuta ana laana za kila mwamba kwanini asifie mapemaNakubali mwamba piga kazi leo Haww mabinti humu wametamka wazi wapo katika kutaka kutuchuna tu![]()
Unahisi wapi havifanyi? nipe deal nikupe full packageVifaa havifanyi kazi zote
Bado chalii safari ndefu hawezi anakaa na bibiTukisafiri awepo etiii joy
😹😹😹 aloooo😀😀😀😀 hao wana maisha mafupi sanaaa... fatilia kwa ukaribu wanawake wa vizinga hawanaga maisha marefu.. maana hubeba laana za wachunwa na malalamiko.. mtu kaitoa hela kwenye mazingira magumu alafu mwanamke anaila kizembe zembe lazima laana imuhusu.. sasa unakuta ana laana za kila mwamba kwanini asifie mapema
😀😀😀😀.. Mapambano ni makali sana ila tutatoboa tuEti KUJIHUJUMUuchague kazi mbovu kwani umemkosea nini mungu shekheee
On behalf of hao mabinti.. don’t quote us wrong![]()
Tunawapenda jamani![]()
Sasa umenikimbiza kilometer 30 navuja jasho kila kona why usinipe hela ya sabuni na maji ya kunywa?!
Mtoto shule kwanza, na bibi hawezi kukubali mjuu aondoke kirahisi rahisi faraja yake ile 😀😀😀Bado chalii safari ndefu hawezi anakaa na bibi
Haviwezi kukumbatia, kama kuna kifaa kinaweza kunihug tait vizuri naomba nifanyie mpangoUnahisi wapi havifanyi? nipe deal nikupe full package
Tutatoboa tu mkuu ingawa Vita Ni Kali tofauti na nilivoikadiria kina Ni kirefu shekhe.. Mapambano ni makali sana ila tutatoboa tu
Yule ashasema Ni wake Mimi nitafutage wengine siuliona anavodekaMtoto shule kwanza, na bibi hawezi kukubali mjuu aondoke kirahisi rahisi faraja yake ile![]()


Unaka aina gani ya hug sema vyote unavyo hitaji.. tufanye ku assemble upate kitu roho inapendaHaviwezi kukumbatia, kama kuna kifaa kinaweza kunihug tait vizuri naomba nifanyie mpango
😀😀.. inabidi reymage akuletee wako sasa.. maana yule ni wa mazaYule ashasema Ni wake Mimi nitafutage wengine siuliona anavodeka![]()