Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,974
- 35,342
Ee..lakin kasema Corona bado ni issue inawezekana alirud kabla ya muda aliotajaWee sema kweli?
Ee..lakin kasema Corona bado ni issue inawezekana alirud kabla ya muda aliotajaWee sema kweli?
OyaMambo?!



Hajarudi huku, bado yuko huko marekani.Ee..lakin kasema Corona bado ni issue inawezekana alirud kabla ya muda aliotaja
Wewe ulikua wapi? Ulale sasa hadi kukikuchaOya
Poa mzima wewe
Ebu rudia hilo guu
Lililosifiwa na watu wangu wa
Heshima tafadhali![]()

Ni mlinziWewe ulikua wapi? Ulale sasa hadi kukikucha![]()
Huyu ntamkamata tu kukikuchaHajarudi huku, bado yuko huko marekani.
Mlinzi? Ulilala basi wewe kibarua chako kiko hatariniNi mlinzi
Shirikishi
Nifanyie wepesi tu

Naanzaje kulalaMlinzi? Ulilala basi wewe kibarua chako kiko hatarini![]()
Naanzaje kulala
Nilikuwa kukagua lindo
Kurejea kitu emputi
pole sana...Hii ni ID mpya unatumia ama? ID yako ya zamani ni ipi?Unajua nmemuuliza makusud aliniambia atarud kuanzia mwez wa tatu this year ndo mana nikahoji
Mi niko Tanzania bana. Njoo hapa Misungwi utanikutaShimba Ya Buyenze eti wee babuuh unakuja TZ mwezi huu?
Nataka uje na vitu fulaan, nikuagize yaan, afu serious



Nitakuja pmHii ni ID mpya unatumia ama? ID yako ya zamani ni ipi?
Niko gizani
Aah! had nlisahau kama nmefunga...tulale kukikucha ntarekebishaSawa nakusubiri!
Nimekuja kwako nimekuta kumefungwa![]()
Mnyamwezi nimemuita sijamsikia ila hii ndo mida yake. Jana aliselfika sanaUnazingua
Ngoja nimsubirie
Mnyamwezi
Mida yake hii![]()



Subir hapo hapo hahaaUnazingua
Ngoja nimsubirie
Mnyamwezi
Mida yake hii![]()