cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,160
- 181,296
Ahsantee sana.
Ahsantee sana.
Mnanidanganyia sana mabinti zangu; hamsemi kama mmeoa. Waambieni tu ukweli, ili wakiamua kuwadangia wawadangie tu wakijua hapa hakuna future.
Angalau kwa Baba Joy tunajua kuja Joy![]()







Mkuu, si nilisikia kuwa eti kuwa platinum member ni lazima ulipie au wamebadilisha utaratibu?
Baby wangu ukija utakutana na talaka yako
Haiwezekani kutwa nzima leo sijakuona humi. Lazima tu utakua unachepuka wewe




Madame unalo hiliTunaishi katika Dunia ambayo mapenzi yanaunzwa,heshima inanunuliwa,nidhamu inakopeshwa na mbaya zaidi ukweli unafichwa kwa risiti......






kwa kweli.❤️🤝kwa kweli.
Eheee unacheka nnkhaaah
Mnanidanganyia sana mabinti zangu; hamsemi kama mmeoa. Waambieni tu ukweli, ili wakiamua kuwadangia wawadangie tu wakijua hapa hakuna future.
Angalau kwa Baba Joy tunajua kuja Joy![]()
Mkuu unaandika balaaAs long as wahusika wote ni watu wazima (18+) na wanadanganyana kwa hiari yao mpaka wanakutana na hatimaye kujuana kuwa mmoja wao kaoa/kaolewa; na wakaendelea na urafiki wao sioni tatizo. Kama ni dhambi watapambana na Mungu wao...Na mabinti wengine wala hawataki fyucha....ni migegedano tu kwa kwenda mbele na kula maisha ...
Na mitandaoni humu ni sandakarawe tu pata potea sawa na huko mitaani. Na kama tulivyoonywa sana na Mkwere kuwa humu "akili za kuambiwa ALWAYS changanya na zako".
Ila umetoa angalizo zuri Mama Mchungaji. Afadhali enzi zetu miaka ya 60 haya mambo ya mitandao hayakuwepo. Sasa ni vurugu tupu yaani. Poleni sana kwa kweli!
Juzi tu hapa jamaa yangu amegundua kuwa binti ambaye walikutana mtandaoni huko sijui twitter sijui wapi kumbe ni mke wa mtu na yeye keshampenda kabisa kabisa. Yaani mpaka anatia huruma kwa jinsi anavyohangaika...
Ina nini bebeUr voice babe![]()
Naomba kakakolaBabe karibu Valentina View attachment 2162049

Samahani mkuu kama kuna kitu nimekosea. Hata wewe ukija kuzeeka utakuwa unaandika balaa kwa sababu muda utakuwa nao bwerere tu!Mkuu unaandika balaa


