Na wameshidwa haswaawameshindwa kuomba hadi wanaume zao wanatoka nje kutafuta chakula.
Ndo aweze kuomba pindi chakula kipo mezani tayar? Ataanza kuombewa yeye kwani. Hahahah
Mtaolewa na nyie!Na wameshidwavhaswaa
Waume zao wabatusumbua huku nje
Kuna sometime naona kama maombi hayaaaidii, wakina mama wengi wanaoshinda kwenye maombi ndoa zao zipo kwenye hali mbaya mnooowameshindwa kuomba hadi wanaume zao wanatoka nje kutafuta chakula.
Ndo aweze kuomba pindi chakula kipo mezani tayar? Ataanza kuombewa yeye kwani. Hahahah
Binafsi nilijichanganya nikaoa chini ya miaka 20, sasa na karibu miaka 15 kwenye ndoa, mwenzangu yeye na watoto tu, mimi hata pole sipewi, gemu napewa kwa nadra sana yaani sana, na mimi damu ndio kama vile ndio imeanza kuchemka, nikitafuta pa kuponea nakutana na maoni kama ya wakina Heaven Sent daaaah!
Kijana handsome wa madiba 😫Lipi hilo D, maana tuna matukio kama yote😂
Kuna wanaume ni tamaa zao tu, unakuta mke wake ana kila sifa tena na zaidi ya mke mwema ila mtu hawezi kutosheka.wameshindwa kuomba hadi wanaume zao wanatoka nje kutafuta chakula.
Ndo aweze kuomba pindi chakula kipo mezani tayar? Ataanza kuombewa yeye kwani. Hahahah
Hahahahahaaaa😅😅😅 miaka 15 ya ndoa damu inakuchemka?!!
Huku nje njoo kina Coca wakuchune mpka ngozi
Kwanza tunaenda lini huko, tuvuke boda 😅Kijana handsome wa madiba 😫
🤣🤣🤣 tukachunwe ngozi auKwanza tunaenda lini huko, tuvuke boda 😅
Si nikataka kureply hapa, wee nimepima nimeona ghokonaizesheni world isije toboka ozone layer 🤣🤣🤣🤣Kuna wanaume ni tamaa zao tu, unakuta mke wake ana kila sifa tena na zaidi ya mke mwema ila mtu hawezi kutosheka.
Hahahahaa🤣🤣🤣 tukachunwe ngozi au
Na ozone ikitoboka utajua hujui🤣🤣Si nikataka kureply hapa, wee nimepima nimeona ghokonaizesheni world isije toboka ozone layer 🤣🤣🤣🤣
Ushaambiwa tumeoa naiaka 19, sasa hivi nina 34 mke kachoka watoto 3 mi ndio ujana umefika kwenye point yakemiaka 15 ya ndoa damu inakuchemka?!!
Huku nje njoo kina Coca wakuchune mpka ngozi
Kwani yeye kujilisha hawezi
Hivi mtu hana hela; anatafuta mchepuko wa nini sasa???
Atamlisha nini?
OohUshaambiwa tumeoa naiaka 19, sasa hivi nina 34 mke kachoka watoto 3 mi ndio ujana umefika kwenye point yake