Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Afu sio kisa hivyo,

Mie ni mentality yangu kuwa kila aliyepo ulaya km n mtanzania, bas ni Kabila hili, muhaya, mpare, mchaga, mnyakyusa.

Afu nimekuja kugundua kumbe niko wrong with, humu JF wengi walio ulaya n wasukuma, hongereni sana.
Wasukuma tuko wengi sana sema tu tulichelewa kusoma. Sasa kidogo mambo yameanza kubadilika japo bado sana. Itachukua muda na juhudi za makusudi kunyanyuka ila nadhani sasa tumeanza kuendana na mwamko wa kitaifa. Kuna matumaini!
 
Niko nawasoma tu halafu.

Halafu mambo yakibumburuka mnaanza kulia lia eti ni victims ooh kanidanganya na kunipotezea muda wangu
Nmemuambia coca ujue kutokana na comment yake , mm sidate mume wa mtu kwa kujua labda anidanganye sasa mdada anadate na mume wa mtu no future kabisa na anajua n nini kitamuweka pale kama si kuangalia maslahi binafsi tu kwamba kuna mapenzi hapana bwana
 
Nmemuambia coca ujue kutokana na comment yake mm sidate mume wa mtu kwa kujua labda anidanganye sasa mdada anadate na mume wa mtu no future kabisa na anajua n nini kitamuweka pale kama si kuangalia maslahi binafsi tu kwamba kuna mapenzi hapana bwana
Hapo nimekusoma...japo bado siwezi kuamini eti binti kabisa na akili zako unaweza kudeti na mume wa mtu kula na kupakua halafu usijue. Inawezekanaje? Hata ratiba zake tu za kuja kwako huwezi kuzishtukia? Mitoko nayo?
 
Wasukuma tuko wengi sana sema tu tulichelewa kusoma. Sasa kidogo mambo yameanza kubadilika japo bado sana. Itachukua muda na juhudi za makusudi kunyanyuka ila nadhani sasa tumeanza kuendana na mwamko wa kitaifa. Kuna matumaini!
Mko vizuri wasukuma hongereni sana, kesho picha babuuh ntakukumbusha yaan lol.
 
Back
Top Bottom