Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hizi kucha ni za Coca wengine hazituhusu. Mjukuu Coca enjoy hizi kucha maridadi. Mi nimepambana sana niwekewe selfika sikufanikiwa. We umekuja tu paap unawekewa kucha. Siku nikimuona boya aliyesema eti binadamu wote ni sawa atanitambua.

Goodnight my people. Mungu Awabariki sana. I hope sijamkwaza mtu. Kuna wine hapa inaniendesha hatari....
Kumbe ndiyo maana umechangamka hivi. Kalale basi Mtumishi
 
Msukuma jamani.

Anyways niwatake radhi single men wote wa humu. Jamani tulianza kama utani kwamba wote humu mmeshaoa; coz sio kitu cha kweli. Personally nawafahamu vijana wengi tu huku ambao hawajaoa; so please ambao tumetishia "ndoano" zenu mtusamehe bure. Utani uliogeuka kuwa a serious talk along the way.

Kukumbushana ni muhimu kwa kweli hata kama hakuna under 10 humu. Yes kama nilivyosema kama umeoa/umeolewa au una mahusiano yako serious na umekutana na mtu na ukamtamani; mwambie tu ukweli ili ajue kusuka au kunyoa.
Kuna wanawake ambao wao naturally wanataka married men; so ukiwaambia ukweli wanakupokea kwa mikono miwili; they have nothing to lose. Au mwingine ajijue ni mchepuko akuchune kimahesabu au afanye makaretee ya kumpindua mkeo.

Kuna watu ambao wapo serious na wanahitaji mahusiano serious; hawana muda wa kupoteza. Huyu ukimdanganya kuwa hujaoa/olewa, akainvest kwako na kuachana na wote; afu baada ya miaka 2 ndiyo anakuja kushtukia kuwa umeoa/kuolewa aisee sio haki. Ni kumpotezea mtu muda na kumuharibia maisha yake. Imagine binti amebeba mimba ndiyo anagundua mwenzie ni mume wa mtu na katu hawezi kumuoa; anaishia kuwa singo mom na mtoto wa kufichwa juu.

Kuna binti December alikuja kulipiwa mahari; harusi ilikuwa soon after Easter. Vikao vimeshaanza kabisa; mara ghafla anapokea simu mtu anajitambulisha kama ni mke wa huyo mchumba wake. Akamtumia na copies za vyeti na picha za familia; kumbe mume alihamia kazi mkoa mwingine ndiyo kafika huko na kuwa MBA. Uchumba ikabidi uvunjwe; imagine how traumatized that lady is. Tusijitafutie laana zisizo na msingi

So tuwe tu wakweli; kuna kina Coca wao hawajali. Uwe tyuuu na ndinga siku mojamoja akanyage mafuta na kujisnap; muende hotels zenu n.k . Siku ukimuacha kwa raha zake anarudi zake kwenye daladala/mwendokasi kwa amani kabisa as anajua kuwa success isn't sexually transmitted. (coca nakutania mwanangu, usinichambe mama ako)
Ewaaaaaah hapa sasa mama malezi umeongea truth, ndo navokupendaga kwenye mada ya hivi huwa unatoa hoja za maana na mashiko. Umenifurahisha mnoo yaan.

mama malezi mbna umenipendelea sana? Mie huyu nipelekwe hotels? Ndinga enyewe nagongea kwa mashost zangu, kwanza hata wa kuwadangia wenyeww nawapata? Inabidi nikaoge baharini nipate hapo wa kunipigia mluzi, sio kwa kukaushiwa huku km kuku wa mdondo lol.

Umetisha sana mama malezi, yaan umepiga mule mule hujaacha kitu. Afu naona km essay ndogo, sijazoea kuona risala fupi hivi japo imebeba mambo mengi na muhimu.

mama malezi.
 
Kuweni wawazi tu..unajua kuna wanawake hawanaga noma uwe umeoa ama hujaoa kwake ni sawa tu na ukiwa muwazi utakua huru babe mchepuko hatakusumbua ila ukidanganya sasa unajitafutia mabalaa zaidi. Kwa hyo kama mna ndoa jaman tuambieni tu tutachagua wenyewe nje ama ndani
Shida yenu moja hamueleweki. Mkiambiwa kweli mnaishia kumuona mtu boya. Mkidanganywa haoo ndo sasa mnafurahi. Jifanye eti we ndo msema kweli bila viuongo vya hapa na pale uone kama hujafa na ukame wako

Na ulishaona wapi muwindaji anakwenda kuwinda huku akipiga makelele?
 
Hizi kucha ni za Coca wengine hazituhusu. Mjukuu Coca enjoy hizi kucha maridadi. Mi nimepambana sana niwekewe selfika sikufanikiwa. We umekuja tu paap unawekewa kucha. Siku nikimuona boya aliyesema eti binadamu wote ni sawa atanitambua.

Goodnight my people. I hope sijamkwaza mtu. Kuna wine hapa inaniendesha hatari....Be blessed
weka selfie yako hapa.
 
Shida yenu moja hamueleweki. Mkiambiwa kweli mnaishia kumuona mtu boya. Mkidanganywa haoo ndo sasa mnafurahi. Jifanye eti we ndo msema kweli bila viuongo vya hapa na pale uone kama hujafa na ukame wako

Na ulishaona wapi muwindaji anakwenda kuwinda huku akipiga makelele?
Aah jaman Mungu atusaidie tu binafsi napenda niambiwe ukweli sababu sifurahii kudate married man kiukwel
 
Shida yenu moja hamueleweki. Mkiambiwa kweli mnaishia kumuona mtu boya. Mkidanganywa haoo ndo sasa mnafurahi. Jifanye eti we ndo msema kweli bila viuongo vya hapa na pale uone kama hujafa na ukame wako

Na ulishaona wapi muwindaji anakwenda kuwinda huku akipiga makelele?
kijana ktk ubora wako,
Uzee tupa kulee, weuweeeeh
 
Aah jaman Mungu atusaidie tu binafsi napenda niambiwe ukweli sababu sifurahii kudate married man kiukwel
Ukipata muda nitafute nikupe mbinu (from a man's perspective) jinsi ya kumgundua mwanaume aliyeoa hata ajifanye namna gani.

Nitakuchaji hela kidogo though kwa sababu hizi ni siri za ndani sana. Na hutakaa udanganywe tena!
 
kiukweli sijawahi kuona, bas irudie ya siku hiyo? Afu mie nimejua wee msukuma hivi karibun tyuuh.
Mwanzo nlijua wee n muhaya au mpare. Hahahah
Mhaya mi kwani nina majivuno ya Kihaya? Umeshaniona najisifia ndinga kali, elimu, pisi kali au kuwa na pesa humu?

Mi Msukuma mshamba mlima nyanya na dengu wa huku Misungwi tu.

Nikumbushe kesho nitakuwekea mjukuu. Picha hazipo kwenye simu kwa sasa
 
Mhaya mi kwani nina majivuno ya Kihaya? Umeshaniona najisifia ndinga kali, elimu, pisi kali au kuwa na pesa humu?

Mi Msukuma mshamba mlima nyanya na dengu wa huku Misungwi tu.

Nikumbushe kesho nitakuwekea mjukuu. Picha hazipo kwenye simu kwa sasa
Afu sio kisa hivyo,

Mie ni mentality yangu kuwa kila aliyepo ulaya km n mtanzania, bas ni Kabila hili, muhaya, mpare, mchaga, mnyakyusa.

Afu nimekuja kugundua kumbe niko wrong with, humu JF wengi walio ulaya n wasukuma, hongereni sana.

Picha kesho ntakukumbusha babuuh, usijar
 
Back
Top Bottom