Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wala sina hangover nakua nachoka tu kuona dunia.
Kuna siku naamka na kisirani sitakagi kuona mtu kabisa. Najifungia ndani mpaka wananisahau
Hizo siku tatu unakuwa una hangover?

Kwenda club nadhani inaendana na umri. Mara ya kwanza na mwisho mimi kucheza disco tena disco vumbi ni graduation ya form 4 waliweka mziki na mimi nikajirusha.

Kreti la bia? Unamaliza? Shikamoooooooo
 
. Hufai wewe
Tulipangaga ka party ka kufunga mwaka ka staff, sasa mimi ndio nilikuwa organizer imagine

Basi nikapanga vinywaji viwiliviwili, wanywa pombe walinimind acha kabisa. Wakaniambia mie mywa maji ningewaambia waniletee maji yangu na dumu la lita5 ila wao niwapangia vinywaji vya kutosha

Nikapigwa marufuku kuorganize tena party yoyote.
 
Back
Top Bottom