sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 21,039
- 48,149
Hata sijui. Ndio tunachagua madiwan now....Serekali za mitaa. Uchaguzi mkuu ndio mwakani.
Hata sijui. Ndio tunachagua madiwan now....Serekali za mitaa. Uchaguzi mkuu ndio mwakani.
Bora ata, maana izilikuwa kama zimewekwa asali... Ngoja nijaribu fanta orange leoFursana zipo nilikunywa ya kikopo cha bati jana.
Nayo siku hizi haina sukarii.
Niliwahi kwenda club mara moja tena uzeeni, na niliishia kusinzia tu[emoji134][emoji134]
Hizo siku tatu unakuwa una hangover?
Kwenda club nadhani inaendana na umri. Mara ya kwanza na mwisho mimi kucheza disco tena disco vumbi ni graduation ya form 4 waliweka mziki na mimi nikajirusha. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kreti la bia? Unamaliza? Shikamoooooooo
Green for nature
Nature for life..life for Mzigua90
Hahahaha mkuu upo vizuri... Sasa hivi mjini hizi zimeshakuwa kama poda... Zinalambwa hatari na ice cream zakeHapana bwana. Azam tamarind ndio nzuri....
Tulipangaga ka party ka kufunga mwaka ka staff, sasa mimi ndio nilikuwa organizer imagine[emoji134]
Basi nikapanga vinywaji viwiliviwili, wanywa pombe walinimind acha kabisa. Wakaniambia mie mywa maji ningewaambia waniletee maji yangu na dumu la lita5 ila wao niwapangia vinywaji vya kutosha[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nikapigwa marufuku kuorganize tena party yoyote.
Woiiiiiiii, ni kuchagua wenyeviti.Hata sijui. Ndio tunachagua madiwan now....
Tena ya baridi.Bora ata, maana izilikuwa kama zimewekwa asali... Ngoja nijaribu fanta orange leo
Kwa hiyo dada shemeji wewe tusker baridi huonji kabisa.
Sasa naelewa kwanini watu wanaomba outing na nyinyi.
Eti nasikia wanaume wa dar mnanyonya ukwaju[emoji23][emoji23]Hahahaha mkuu upo vizuri... Sasa hivi mjini hizi zimeshakuwa kama poda... Zinalambwa hatari na ice cream zake
Utumbo... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].... Atoto aka UTUMBO[emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]... Utumbo wa... [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Yaani mimi kabla hata kuku hawajalala mie shajifungia ndani[emoji134][emoji134][emoji134]
Halafu hata sitamani. Kuna kaka yangu ananiitaga "utumbo" eti najifungia sana ndani.
Mdogo wangu usiniambie nawe umerithi?
Hahahaha mkuu upo vizuri... Sasa hivi mjini hizi zimeshakuwa kama poda... Zinalambwa hatari na ice cream zake