Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hivi kumbe usiku mimi na Atoto tumelala tunakoroma wengine ndio kwanza pamekucha.
Daah watu mnakula bata jamani, mauhuru kama yotee. Nawatamania.
Dada yangu Atoto ananifungia ndani saa 12:30jioni
Yaani mimi kabla hata kuku hawajalala mie shajifungia ndani
Halafu hata sitamani. Kuna kaka yangu ananiitaga "utumbo" eti najifungia sana ndani.

Mdogo wangu usiniambie nawe umerithi?
 
Back
Top Bottom