Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,369
- 176,202
Niliwahi kwenda club mara moja tena uzeeni, na niliishia kusinzia tuSio ushamba mpenzi. Kila mtu ana kitu anakipenda. Mimi sasa hivi hunibebi kunipeleka club ila nilikuaga kama nimechanjiwa nilivyokua chuo. Sasa hivi kitu naweza kukifanya ni kunywa tu. Hata nikalie crate ya bia kama kuna kamziki na story nakaa.
Sema sasa nikisema nijifungie ndani naweza kaa hata siku 3 sifungui mlango.





