sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Mimi nataka nmnunulie maji na makange.
Wewe unataka ufaidi nae before 50's
Tuendelee tuu wote kwa pamoja
Mimi nataka nmnunulie maji na makange.








. Ngoja nimcheck anko wangu kwanza
Hahahah umenikumbusha jana anko wake mzigua anaaga anasema niwarudishe na nyinyi tukamwambia nenda tu sisi ndio kumekucha hivi
Mimi nataka nmnunulie maji na makange.
Wewe unataka ufaidi nae before 50's
Tuendelee tuu wote kwa pamoja



haya bwana!!Hahahah. Mnachanga sawa wewe unakunywa soda mbili (1000) hao wanakunywa bia 4 (15000+).Tulipangaga ka party ka kufunga mwaka ka staff, sasa mimi ndio nilikuwa organizer imagine
Basi nikapanga vinywaji viwiliviwili, wanywa pombe walinimind acha kabisa. Wakaniambia mie mywa maji ningewaambia waniletee maji yangu na dumu la lita5 ila wao niwapangia vinywaji vya kutosha
Nikapigwa marufuku kuorganize tena party yoyote.
Kwamba outing zetu hazizidi 10k sio?Kwa hiyo dada shemeji wewe tusker baridi huonji kabisa.
Sasa naelewa kwanini watu wanaomba outing na nyinyi.
Yani cheap and affordable.Kwamba outing zetu hazizidi 10k sio?
Just like nanii?Safi saaana. Just like naniliuu...
Inabdi leo tutoke kidogo. Tumuenzi vema baba wa hili taifa.



Ukijiandikisha kupiga kura ulale huko huko.Dakika mbili mzigo utafika nipo kwa wakala hapaView attachment 1232858
Mnafanana...na dada yakoJust like nanii?![]()
Kura si mwakani. 2020Ukijiandikisha kupiga kura ulale huko huko.
Halafu ina asili ya kunatanata kama asali.... Hivi fursana bado zipo??Siku hizi hazina sukari.
Ila zinajaza tumbo balaa.
Kafanta orange kanakufaaMie hata soda naonaga kero kunywa, ni maji tu.
Uzuri unajua napokwama... Nimetoa alternative..Marahabaaaa! Jezi yangu ya yanga iko wapi?
Sasa hivi nitakuwa nakunywa champagne chupa mbili.Yani cheap and affordable.
Nin allergy nayoRangi imefanya nini? Hebu usinibanie bwana!!!
Kwahiyo elfu 20 inatosha outing yangu na dada?Mnafanana...na dada yako
Serekali za mitaa. Uchaguzi mkuu ndio mwakani.Kura si mwakani. 2020
Fursana zipo nilikunywa ya kikopo cha bati jana.Halafu ina asili ya kunatanata kama asali.... Hivi fursana bado zipo??
Hapana bwana. Azam tamarind ndio nzuri....Sasa hivi nitakuwa nakunywa champagne chupa mbili.