Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ila hii thread inaonyesha kiasi gani watu wanapiga ulabu na starehe, yaani ni ulabu tu hakuna starehe nyingine. Nilitegemea tungejitokeza kuonyesha 6x6 na warembo wetu ila hola.
Wewe yako iko wapi?
 
Hahahah. Mnachanga sawa wewe unakunywa soda mbili (1000) hao wanakunywa bia 4 (15000+).
Ulifanya vizuri sana.
Yaani acha, halafu sasa wanywa bia ndio huwa walalamikaji wakati sie wanywa maji hata hatuna taabu
 
Sisi tulikua tunaenda mpaka watu wote wanaisha saa kumi na mbili asubuhi ndo tunatoka tunarudi hostel kulala kidogo tunarudi chuo . Unajua yale maisha ya umetoka shule umeenda hostel na hela ya bodi ipo uhuru kama woteeee.
Kuna rafiki yangu ndio zilikuwa zake, anarudi alfajiri ila kutwa nzima atashinda amelala.
 
Back
Top Bottom