Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Tulipangaga ka party ka kufunga mwaka ka staff, sasa mimi ndio nilikuwa organizer imagine

Basi nikapanga vinywaji viwiliviwili, wanywa pombe walinimind acha kabisa. Wakaniambia mie mywa maji ningewaambia waniletee maji yangu na dumu la lita5 ila wao niwapangia vinywaji vya kutosha

Nikapigwa marufuku kuorganize tena party yoyote.
Kwa hiyo dada shemeji wewe tusker baridi huonji kabisa.

Sasa naelewa kwanini watu wanaomba outing na nyinyi.
 
Kwa hiyo dada shemeji wewe tusker baridi huonji kabisa.

Sasa naelewa kwanini watu wanaomba outing na nyinyi.
Mie ukinitoa outing ni maji yangu ya kilimanjaro na makange ya kuku na ndizi choma 2 au kaugali umemaliza kabisaaa.
 
Umu walevi wamejaaa sana

75%. Ya pichaa zina vilevi pembeni so inawezekana nyingi ni U. I. A
 
Ila hii thread inaonyesha kiasi gani watu wanapiga ulabu na starehe, yaani ni ulabu tu hakuna starehe nyingine. Nilitegemea tungejitokeza kuonyesha 6x6 na warembo wetu ila hola.
 
Usijali kaka shemeji, hapo ndumba hazifanyi kazi.

Jina ni lile lile kaka shemeji 'atoto MO11 ' bado sijabadili.
Dakika mbili mzigo utafika nipo kwa wakala hapa
20191014_114901.jpeg
 
Back
Top Bottom