Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Marafiki wa jf sasa, utasikia cute b tutoke wikiend nikutoe out ule unywe... Mimi nacheka tuu kihutu hi hi hi hi.
Nikiwaambia mimi kutoka usiku siwezagi wananinuniamfano Hazard CFC.
Halafu mtu anaweza hisi unaringa kumbe masikini hayo mambo huyawezi tu
 
.
Haki wewe kiboko.
Wenzako wanaagiza bia wewe unaagiza maji
Tulipangaga ka party ka kufunga mwaka ka staff, sasa mimi ndio nilikuwa organizer imagine

Basi nikapanga vinywaji viwiliviwili, wanywa pombe walinimind acha kabisa. Wakaniambia mie mywa maji ningewaambia waniletee maji yangu na dumu la lita5 ila wao niwapangia vinywaji vya kutosha

Nikapigwa marufuku kuorganize tena party yoyote.
 
Back
Top Bottom