Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Tujifungie tu ndani maana hamna namna.

Mie sasa hata sherehe naonaga kero, nikienda lazima niwahi kurudi nyumbani[emoji134][emoji134]
Marafiki wa jf sasa, utasikia cute b tutoke wikiend nikutoe out ule unywe... Mimi nacheka tuu kihutu hi hi hi hi.
Nikiwaambia mimi kutoka usiku siwezagi wananinunia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mfano Hazard CFC.
 
Hapo nishakunywa maji yangu ya kilimanjaro kopo kubwa tumbo limejaa, sasa najionea kero tu[emoji134][emoji134]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Haki wewe kiboko.
Wenzako wanaagiza bia wewe unaagiza maji[emoji23]
 
Marafiki wa jf sasa, utasikia cute b tutoke wikiend nikutoe out ule unywe... Mimi nacheka tuu kihutu hi hi hi hi.
Nikiwaambia mimi kutoka usiku siwezagi wananinunia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mfano Hazard CFC.
Halafu mtu anaweza hisi unaringa kumbe masikini hayo mambo huyawezi tu[emoji134]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Haki wewe kiboko.
Wenzako wanaagiza bia wewe unaagiza maji[emoji23]
Tulipangaga ka party ka kufunga mwaka ka staff, sasa mimi ndio nilikuwa organizer imagine[emoji134]

Basi nikapanga vinywaji viwiliviwili, wanywa pombe walinimind acha kabisa. Wakaniambia mie mywa maji ningewaambia waniletee maji yangu na dumu la lita5 ila wao niwapangia vinywaji vya kutosha[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nikapigwa marufuku kuorganize tena party yoyote.
 
Back
Top Bottom