Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,226
Mom's dota 🤣🤣🤣Ombi langu la kadi ya tarehe 25,bado sijajibiwa au hadi nilie khaaa!
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
Subiri kwanza tuwe na uhakika wa hela ya mbuzi.
Mom's dota 🤣🤣🤣Ombi langu la kadi ya tarehe 25,bado sijajibiwa au hadi nilie khaaa!
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
Mie nipate kadi kwanza,hayo mambo ya mbuzi ata bata tutamlaMom's dota
Subiri kwanza tuwe na uhakika wa hela ya mbuzi.
Noo usisuke kwa sasa, short hair inakutoa perfect👌Nina chogo hivi afu kusuka najifanya sitaki? Lenie ninaniliu basi ata nianze kusuka kwanini unaniwacha hivi!! 😆😆😆View attachment 2036582
My wii hayo macho mmmh, nipe siri ya mafanikio yako




Ubarikiwe sana, hebu pitia kwa mangi pata chochote, bill juu yangu.Oooh! Thanks mai furendi...
Na uzee wote huu kuanza tena kutukanana na wajukuu humu dah! Wengine huchukulia kama ni udhaifu hata huku mtaani lakini kuna faida nyingi sana kisaikolojia kuwa calm. Hupati mahomoni haya ya stress hovyo hovyo na roho yako inabakia kuwa nyeupe.
Isitoshe niko mahali yaani social life imeharibiwa sana na Korona. Kwa hivyo JF hapa ndiyo kijiwe changu cha kahawa kuja kutaniana na kucheka. Sasa niache tena kucheka na kufurahi niingie kwenye kutukanana? Hapana. Ndo maana nilikimbia hata jukwaa la siasa japo mara moja moja nikitamani kuyakoga matusi naendaga huko kuchokoza watu tu.
Yeah! It costs us nothing to treat everyone with respect hata kama hatujuani. Actually that's a reflection and a true measure of a man's integrity and self awareness. Kuna mambo mengi ambayo, kama binadamu, hatuwezi kuya-control. Nguvu zetu, hata hivyo, zimo katika namna tunavyo-respond.
Asante sana Karma![]()
Aisee. Afadhali umenifungua macho. Nilikuwa nafikiri huu mchezo anao Jael peke yake...Hahaa ninazozijua mimi ni Beberu Mwitu then Careem then Emiir sasa sijui kama kuna nyingine hapo kabla![]()





.......
Dooh😂🤣🤣🤣 Na ngata tena? Hizo dhambi ni zako mwenyewe
Sijui hata linaitwaje ila sio dodo, embe dodo this time sijayaonja kabisa.Embe bolibo au dodo?![]()
Mnafanana. Ni sister ama?







mbavu zangu mie uwiiiih, hadi nkataka kuangusha cm hapa, khaaaahCareem kumbe ndio wewe, sikugundua hata.
Ndio . Babu yako ana App za Translator kama 4 hivi





