Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jaman jaman khaaah
FB_IMG_16388985545278833.jpg
 
Pale unapodhan umeme ukekata, kumbe luku yako imeisha ndo switch zinakutazama hivyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
FB_IMG_16388985917493455.jpg
 
Oooh! Thanks mai furendi...

Na uzee wote huu kuanza tena kutukanana na wajukuu humu dah! Wengine huchukulia kama ni udhaifu hata huku mtaani lakini kuna faida nyingi sana kisaikolojia kuwa calm. Hupati mahomoni haya ya stress hovyo hovyo na roho yako inabakia kuwa nyeupe.

Isitoshe niko mahali yaani social life imeharibiwa sana na Korona. Kwa hivyo JF hapa ndiyo kijiwe changu cha kahawa kuja kutaniana na kucheka. Sasa niache tena kucheka na kufurahi niingie kwenye kutukanana? Hapana. Ndo maana nilikimbia hata jukwaa la siasa japo mara moja moja nikitamani kuyakoga matusi naendaga huko kuchokoza watu tu [emoji16][emoji16][emoji16].

Yeah! It costs us nothing to treat everyone with respect hata kama hatujuani. Actually that's a reflection and a true measure of a man's integrity and self awareness. Kuna mambo mengi ambayo, kama binadamu, hatuwezi kuya-control. Nguvu zetu, hata hivyo, zimo katika namna tunavyo-respond.

Asante sana Karma [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Ubarikiwe sana, hebu pitia kwa mangi pata chochote, bill juu yangu.
 
Hahaa ninazozijua mimi ni Beberu Mwitu then Careem then Emiir sasa sijui kama kuna nyingine hapo kabla [emoji16][emoji16]
Aisee. Afadhali umenifungua macho. Nilikuwa nafikiri huu mchezo anao Jael peke yake...[emoji2099][emoji2099][emoji2099]

Na mimi ID hii nimekaa nayo sana. Ni wakati wa kuachana nayo sasa kwa sababu ina baggage kibao [emoji706][emoji706]

Screenshot_20211207-150920.jpg
 
Back
Top Bottom