cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,290





afu leo nna furaha ya ajabu, cha ajabu sasa nakorofishwa kila sehemu aaaah, still bado furaha yangu iko pale pale. Sema tena weuweeeeeeeeeeeh,











afu leo nna furaha ya ajabu, cha ajabu sasa nakorofishwa kila sehemu aaaah, still bado furaha yangu iko pale pale. 





Sahizi kalala,kuwa huruNdio . Babu yako ana App za Translator kama 4 hivi![]()

Tulia we mzee wewe! Kwani hutaki vitukuu!!Hata huko PM ntawafurumua tu![]()















Hunitakii mema eeh 🤣Noo usisuke kwa sasa, short hair inakutoa perfect👌
Na mie nawashangaa sana, khaaaah.E bwana inabidi juhudi za upambanaji zifanyike huko.
Uzi usivurugwe.
Wenye hasira wote wajikusanye na waanze sasa kwa vitendo.



Umelikubali ilo chogo pipi?! 😛Yeah!
Hata bila dimpozi kwa hii picha nimekubali. Who cares about dimpozi?...![]()
Woiiii jomoni tyuuuh (in **** voice)...![]()




kuwa huru bhana, hat ukimtag wala hana noma, Naogopa, usikute usingizini anaota ugali















Hahaa serious eti, utasuka badae badae ukianza kuzeeka😃Hunitakii mema eeh 🤣
Asante, nimefurah kujua hilo bestNdio mimi
Karibu!![]()
Naanzaje sasa wiii, wee nionee utakavyo wala sina noma mie, kuna watu humu swezi kuwajibu vibaya juu ya busara na utashi wao hata wanikwaze vipi, wee ukiwemo,Uzi wa selfika yeah' too much memes nenda Uzi wa vituko.
Kwa siku usizidishe memes 3.
Usinijibu vbaya maana nitakubonda![]()









Na wale wanaoresist wajitahidi kuanzisha mada zao huko.
Hapa ni picha tu.
Mimi niliyemkwaza yeyote apambane na hali yake.



cc omba msamaha bhana, wee hujui baadhi ya watu wa humu wanapenda kuabudiwa? Wao ni watakatifu na hawana kosa wala doa. 








Naogopa, usikute usingizini anaota ugali![]()




usinisemee babu yangu sawa?Msukuma wee humjui? Yule mbunge wa geita?Hivi ni nani huyu?
Naona picha yake imesambaa sana.


