Hadi kamalize meme,kaje kuiona comment yako ni saa6 usiku.Uzi wa selfika yeah' too much memes nenda Uzi wa vituko.
Kwa siku usizidishe memes 3.
Usinijibu vbaya maana nitakubonda![]()





Siku nitakayoharibu vioo nadhani ndio itakuwa mwisho wa kutumia hizi simu.
Ngata kama ngata🤣🤣🤣
Hahaa ninazozijua mimi ni Beberu Mwitu then Careem then Emiir sasa sijui kama kuna nyingine hapo kablaZamani alikuwa anaitwaje?
Tangu Mello aruhusu watu kubadili ID yaani imekuwa vurugu mechi tu. Mtu anapotea unafikiri alishaondoka JF kumbe yupo kabadili ID. Hovyo tu!


Haya ndio maneno!















