Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Tuchangamshe meno
20211207_165816.jpg
 
We kakorofi sana wewe. Yaani hushauriki!

Basi angalau ukitaka kufanya harakati zako za ushoga hamishia kwenye ule uzi mwingine ule

Halafu uzee ni baraka bana. Si wote wanaobahatika kuufikia. Hata wewe nakuombea uishi maisha marefu mpaka ufikishe 76 na zaidi!

Enjoy your life mkuu!

Sitajibishana nawe tena
umeona uache tyuuu
 
We kakorofi sana wewe. Yaani hushauriki!

Basi angalau ukitaka kufanya harakati zako za ushoga hamishia kwenye ule uzi mwingine ule

Halafu uzee ni baraka bana. Si wote wanaobahatika kuufikia. Hata wewe nakuombea uishi maisha marefu mpaka ufikishe 76 na zaidi!

Enjoy your life mkuu!

Sitajibishana nawe tena
Sema nakukubali huwa una busara sana. Sijawahi ona mahali unatukana mtu humu hata akikukwaza vipi huwa unajitahidi kumjibu kistaarabu tu.

Kwa comment yake hiyo nina uhakika angelikuwa ni mtu mwingine asingeweza kuvumilia angelipuka kwa matusi na mjadala ndiyo ungekuwa mkubwa zaidi.

Binafsi huwa najifunza sana kuwa na that type of attitude na nikifanikiwa hilo naamini nitakuwa mtu mwingine kabisa. I hope hii ndiyo attitude uko nayo hata in real life.
 
Back
Top Bottom