T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,932
- 30,087
Daah kama mimi asee
Inabidi tuandae detox for JanuaryDaah kama mimi asee
I hope my liver is still strong maana huu mwezi nimeuanza vibaya hadi najisikitikia
Nakuja kukuminya tumbo 🤣Tuchangamshe meno
View attachment 2036204
🤣🤣🤣Fresh tu Sister D
Naomba nikupe hela
Pumbavu Sana wew ungekua karibu ningekunasa vibao vikali akili izibuke hio




Nice snack bageshi!Tuchangamshe meno
View attachment 2036204
umeona uache tyuuuWe kakorofi sana wewe. Yaani hushauriki!
Basi angalau ukitaka kufanya harakati zako za ushoga hamishia kwenye ule uzi mwingine ule
Halafu uzee ni baraka bana. Si wote wanaobahatika kuufikia. Hata wewe nakuombea uishi maisha marefu mpaka ufikishe 76 na zaidi!
Enjoy your life mkuu!
Sitajibishana nawe tena




Wasomaji wa kimya kimya bila kuselfika nanyi hamna faida yo yoteWanatuchosha wasomaji wa kimya kimya woiii![]()



Selfika madam achana na hizo mada zisizo na kichwa wala miguu



Dooh mbona wengine zimetushinda mkuuLet me try this one....mambo ya wadada haya! View attachment 2036161


Mkuu vinaleta usingizi balaaDooh mbona wengine zimetushinda mkuu![]()
Njoo 🤣🤣Nakuja kukuminya tumbo 🤣
Hebu selfika basi ili tukate mzizi wa fitinaTunayo buana..muulize Mshana Jr

Karibu tuburudikeNice snack bageshi!
Kutakuwa na ugali au ni hayo maembe tu?Karibu tuburudike



Sema nakukubali huwa una busara sana. Sijawahi ona mahali unatukana mtu humu hata akikukwaza vipi huwa unajitahidi kumjibu kistaarabu tu.We kakorofi sana wewe. Yaani hushauriki!
Basi angalau ukitaka kufanya harakati zako za ushoga hamishia kwenye ule uzi mwingine ule
Halafu uzee ni baraka bana. Si wote wanaobahatika kuufikia. Hata wewe nakuombea uishi maisha marefu mpaka ufikishe 76 na zaidi!
Enjoy your life mkuu!
Sitajibishana nawe tena